Dodoma FM

Jinsia

3 March 2022, 3:05 pm

Tanzania kuendelea kusimamia usawa wa kijinsia

Na; Mariam Matundu. Tanzania imezihakikishia nchi za Umoja wa Afrika kuendelea kusimamia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake kiuchumi katika sekta mbalimbali na kuwawezesha kupata fursa katika sekta hizo Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,…