Dodoma FM
Jinsia
3 March 2022, 3:05 pm
Tanzania kuendelea kusimamia usawa wa kijinsia
Na; Mariam Matundu. Tanzania imezihakikishia nchi za Umoja wa Afrika kuendelea kusimamia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake kiuchumi katika sekta mbalimbali na kuwawezesha kupata fursa katika sekta hizo Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,…
18 August 2021, 1:04 pm
Wadau waomba waandishi wa habari kuongeza weledi katika masuala ya jinsia
Na; Mariam Matundu. Wadau wa masuala ya jinsia wameomba waandishi wa habari Nchini kuongeza weledi katika masuala ya jinsia ili kuondoa mitazamo hasi hasa kwa viongozi wanawake pale wanapofanya nao mahojiano . Wakizungumza na taswira ya habari wadau hao wamesema…