Ikulu
4 June 2021, 2:52 pm
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China a…
Matukio katika picha. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimkaribisha Balozi wa China aliyemaliza muda wake hapa nchini Wang Ke mara baada ya kuwasili Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma leo tarehe 4 Juni, 2021. Rais…
4 June 2021, 9:39 am
Rais Samia Suluhu apokea Ujumbe Maalumu kutoka kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na kumkaribisha Mjumbe Maalumu wa Rais wa Rwanda Paul Kagame, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Rwanda Dkt. Vincent Biruta mara baada ya kuwasili…
12 April 2021, 1:44 pm
Mzee Mwinyi amtembelea Rais Samia Nyumbani kwake
Na; Mariam Kasawa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 12 Aprili, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Dkt. Ali Hassan Mwinyi ambaye amempongeza kwa kuanza vizuri majukumu…