homa ya inni
27 October 2022, 10:08 am
Rais Samia kutangaza matokeo ya awali ya sensa 0ct 31 Jijini Dodoma
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa maandalizi ya uzinduzi wa matokeo ya mwanzo ya sensa ya watu na makazi yamefikia hatua nzuri hivyo wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushuhudia matokeo hayo yakitangazwa. Hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa Dodoma Rosemary…
11 July 2022, 1:30 pm
Wananchi waaswa kuacha kuwaficha watu wenye ulemavu wakati wa zoezi la Sensa
Na; Benard Filbert. Kuelekea zoezi la sensa ya watu na makazi linalo tarajiwa kufanyika mwezi Agosti mwaka huu wakazi wa kata ya Songambele Wilayani Kongwa wameombwa kuacha kuwaficha watu wenye ulemavu badala yake wawape fursa ya kuhesabiwa. Hayo yameelezwa na…
5 May 2022, 7:13 am
Viongozi wa Dini watakiwa kuhamasisha zoezi la sensa
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa viongozi wa dini wanayo nafasi kubwa ya kuhamasisha zoezi la sensa na makazi ambalo linatarajiwa kufanyika mwaka huu mnamo mwezi Agosti. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi jijini hapa wakati wakizungumza na taswira ya habari…
29 July 2021, 9:25 am
Homa ya ini yaelezwa kuua idadi kubwa ya watu Duniani kila mwaka.
Na;Mindi Joseph. Takribani watu 88,4000 hufariki kila mwaka kutokana na matatizo ya homa ya ini kwa mujibu wa Takwimu za shirika la afya Duniani. Kupitia taarifa ya Waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto iliyotolewa kwa vyombo…