Dodoma FM

DINI

18 September 2023, 3:34 pm

Viongozi wa dini watakiwa kutoa huduma nzuri kwa wananchi

Kanisa la Pentecostal Christian International lililopo Mji Mwema Dodoma limesimika viongozi 20 katika nafasi za huduma mbalimbali. Na Yussuph Hassan. Viongozi waliosimikwa katika nafasi mbalimbali ndani ya Kanisa la Pentecostal Cristian International lililopo Mji Mwema Dodoma, wametakiwa kutoa huduma nzuri…

10 April 2023, 12:22 pm

Waumini wa dini ya kiislamu washauriwa kuendelea kutenda mema

Ramadhani ni mwezi mtukufu ambao Waislamu hutumia mwezi wa Ibada wakiwa wamefunga, moja ya nguzo za Uislamu. Na Yussuph Hassan. Waumini wa dini ya kiislamu mkoa Dodoma wameshauri kuendelea kuutumia mwezi wa mtukufu wa ramadhani katika kutenda mema na zaidi.…