Corona
27 October 2022, 10:08 am
Rais Samia kutangaza matokeo ya awali ya sensa 0ct 31 Jijini Dodoma
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa maandalizi ya uzinduzi wa matokeo ya mwanzo ya sensa ya watu na makazi yamefikia hatua nzuri hivyo wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushuhudia matokeo hayo yakitangazwa. Hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa Dodoma Rosemary…
11 July 2022, 1:30 pm
Wananchi waaswa kuacha kuwaficha watu wenye ulemavu wakati wa zoezi la Sensa
Na; Benard Filbert. Kuelekea zoezi la sensa ya watu na makazi linalo tarajiwa kufanyika mwezi Agosti mwaka huu wakazi wa kata ya Songambele Wilayani Kongwa wameombwa kuacha kuwaficha watu wenye ulemavu badala yake wawape fursa ya kuhesabiwa. Hayo yameelezwa na…
5 May 2022, 7:13 am
Viongozi wa Dini watakiwa kuhamasisha zoezi la sensa
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa viongozi wa dini wanayo nafasi kubwa ya kuhamasisha zoezi la sensa na makazi ambalo linatarajiwa kufanyika mwaka huu mnamo mwezi Agosti. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi jijini hapa wakati wakizungumza na taswira ya habari…
20 September 2021, 11:54 am
Matumizi ya pombe katika mikusanyika yachangia maambukizi ya uviko 19
Na; Shani Nicolous. Imeelezwa kuwa matumizi ya pombe katika jumuiya na kwenye mikusanyiko yanachangia kwa kiasi kikubwa maambukizi ya uviko 19. Akizingumza na Taswira ya habari Dr. Missan Yango kutoka hospitali ya Mkoa Dodoma amesema kuwa kutumia pombe sehemu za…
15 July 2021, 12:21 pm
Wakazi wa Jiji la Dodoma wametakiwa kuhakikisha wanajilinda dhidi ya maambukizi…
Na;Yussuph Hans. Rai imetolewa kwa wakazi wa Jijini la Dodoma kuhakikisha wanajilinda dhidi maambukizi ya virusi vya korona, kwa kuhakikisha wanapunguza safari zisizo na ulazima pamoja na kuvaa barakoa katika mikusanyiko. Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma…
8 July 2021, 1:15 pm
Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona
Na; Benard Filbert. Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 kwa mujibu wa maelekezo ambayo yamekuwa yakitolewa na Serikali pamoja na wataalamu wa afya. Wito huo umetolewa na afisa afya wa Jiji la Dodoma Bw. Abdallah Mahiya…
18 May 2021, 12:49 pm
Watanzania wametakiwa kuwa na imani na chanjo ya Corona
Na; Yussuph Hans Wananchi wametakiwa kuwa na imani na chanjo ya covid 19 Akizungmza na Dodoma fm mtaalamu wa uchunguzi tiba kitengo cha maabara kutoka hospitali ya KCMC Dkt.Ahmed Zubeir amesema kuwa katika matumizi ya tiba wakati mwingine huwa na…