Dodoma FM

Corona

5 May 2022, 7:13 am

Viongozi wa Dini watakiwa kuhamasisha zoezi la sensa

Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa viongozi wa dini wanayo nafasi kubwa ya kuhamasisha zoezi la sensa na makazi ambalo linatarajiwa kufanyika mwaka huu mnamo mwezi Agosti. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi jijini hapa wakati wakizungumza na taswira ya habari…

18 May 2021, 12:49 pm

Watanzania wametakiwa kuwa na imani na chanjo ya Corona

Na; Yussuph Hans Wananchi wametakiwa kuwa na imani na chanjo ya covid 19 Akizungmza na Dodoma fm mtaalamu wa uchunguzi tiba kitengo cha maabara kutoka hospitali ya KCMC Dkt.Ahmed Zubeir amesema kuwa katika matumizi ya tiba wakati mwingine huwa na…