Asasi
28 August 2023, 5:45 pm
Serikali yakamilisha ujenzi wa minara 304 ndani ya Mwaka mmoja.
Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF) unaendelea na ukaguzi wa minara yote iliyowashwa ili kuona utendaji kazi wake unakidhai vigezo vilivyowekwa kwa mujibu wa Mikataba Na Selemani Kodima Katika kuendelea kutatua changamoto za mawasiliano nchini ,Serikali imefanikiwa kukamilisha miradi ya mawasiliano …
27 October 2022, 10:35 am
Wakazi wa Gulwe wakosa mawasiliano ya simu
Na; Victor Chigwada. Changamoto ya mawasiliano katika Kijiji Cha Gulwe imeendelea kuwaathiri wananchi kutokana na uhaba wa minara ya mitandao ya simu. Wananchi hao wa Gurwe wamesema kuwa wamekuwa wakipata wakati mgumu wanapo hitaji kufanya mawasiliano kwa njia ya simu…
25 October 2021, 12:46 pm
Asasi za kiraia nchini zajadili mchango wake katika maendeleo ya nchi
Na;Mindi Joseph. Asasi za Kirai Nchini leo zimeketi pamoja katika mdahalo wa kujadili Mchango wake katika maendeleo ya Nchi na uchumi katika kuongeza pato la taifa na kupunguza umasikini kwa wananchi. Akizungumza leo katika Mdahalo huo Mkurugenzi Mtendaji wa Foundation…