afya
28 March 2022, 2:48 pm
Wakazi wa Chang’ombe Ihumwa walalamikia huduma ya Afya kuto kujitosheleza
Na;Neema Shirima. Baadhi ya wananchi wa mtaa wa chang’ombe kata ya Ihumwa jijini Dodoma wameelezea changamoto zao ikiwa ni pamoja na kutojitosheleza kwa huduma ya afya katika kata hiyo Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema kwa sasa ongezeko…
2 February 2022, 4:05 pm
Wafanyabiashara wa vyakula watakiwa kufuata sheria ya Afya ya jamii
Na; Benard Filbert. Idara ya afya katika jiji la Dodoma imeanza oparesheni ya ukaguzi wa maeneo yanayotumika kuuzia vyakula na vinywaji katika kata zote lengo ikiwa kuwataka wauzaji hao kufuata sheria ya afya ya jamii ya mwaka 2009. Hayo yameelezwa…
3 December 2021, 10:20 am
Jamii yatakiwa kujenga vyoo bora ili kuepuka matatizo ya kiafya
Na; Benard Filbert. Wito umetolewa kwa jamii kujenga vyoo bora ili kuepuka adha ya kiafya ambayo inaweza kujitokeza. Wito huo umetolewa na afisa afya wa Jiji la Dodoma Abdallah Mahiya wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu utekelezaji wa kampeni…
1 November 2021, 11:21 am
Jamii imetakiwa kuzingatia umuhimu wa afya kwa kupima mara kwa mara
Na;Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kuzingatia masuala ya kiafya katika umuhimu wake kwa kupima afya zao mara kwa mara. Wito huo umetolewa na Mwasisi na Rais kutoka shirika la afya ya akili CMHI Dr. Joshua John amesema kuwa kuna…
17 August 2021, 12:11 pm
Wakazi wa Mkoka waiomba serikali iwaboreshee upatikanaji wa huduma ya Afya
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Mkoka Wilaya ya Kongwa wameiomba Serikali kuwasaidia kukamilisha upatikanaji wa huduma za afya katika kituo cha afya ili kupunguza adha kwa wananchi Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa…
9 August 2021, 1:31 pm
Kata ya Hogoro , wilayani Kongwa yakabiliwa na uhaba wa wodi za wazazi na upung…
Na ;Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya hogoro wanakabiliwa na changamoto ya uhaba wa wodi za wazazi pamoja na wahudumu afya na kuomba wadau kwa kushirikiana na serikali kuwaasaiidia kutatua adha hiyo. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya…
25 June 2021, 1:24 pm
Serikali kuendeleza maboresho sera ya matibabu bure kwa wazee
Na;Yussuph Hans. Serikali imesema katika kuhakikisha wazee wanapata huduma bora ya matibabu, inaendeleza zoezi la utambuzi na kuwapatia vitambulisho ambapo mpaka kufikia Machi 2020/2021 Asimilia 87 ya makadirio ya Wazee wote nchini wamepatiwa Vitambulisho hivyo. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini…
7 May 2021, 1:52 pm
Uhaba wa Wafamasia, Serikali yaahidi kuajiri watumishi 10,467 maeneo mbalimbali.
Na ; Yussuph Hans Serikali imesema katika kutambua changamoto ya uhaba wa wafamasia nchini katika kipindi cha mwaka 2021/22 ina mpango wa kuajiri watumishi 10,467 ili kuhudumia maeneo mbalimbali nchini Hayo yamesemwa Bungeni hii leo na Naibu Waziri Ofisi ya…
29 April 2021, 6:17 am
Zahanati ya Chanhumba yakabiliwa na ukosefu wa dawa
Na; Benard Filbert. Wakazi wa Kijiji Cha Chanhumba Kata ya Handali Wilayani Chamwino wamelalamikia ukosefu wa dawa katika Zahanati ya Kijiji hicho hali inayowalazimu kununua dawa katika maduka ya dawa. Hayo yameelezwa na wakazi wa Kijiji hicho wakati wakizungumza na…
19 April 2021, 12:48 pm
Serikali yatenga fedha kuimarisha usimamizi na uratibu wa lishe
Na; Mariam Matundu Serikali kupitia Halmashauri nchini imetenga shilingi elfu moja(1000) kwa kila mtoto mwenye umri chini ya miaka mitano ili kutekeleza afua mbalimbali za lishe ikiwemo kuanzisha kamati elekezi yenye lengo la kuimarisha usimamizi na uratibu wa suala la…