Dodoma FM

afya

25 June 2021, 1:24 pm

Serikali kuendeleza maboresho sera ya matibabu bure kwa wazee

Na;Yussuph Hans. Serikali imesema katika kuhakikisha wazee wanapata huduma bora ya matibabu, inaendeleza zoezi la utambuzi na kuwapatia vitambulisho ambapo mpaka kufikia Machi 2020/2021 Asimilia 87 ya makadirio ya Wazee wote nchini wamepatiwa Vitambulisho hivyo. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini…

29 April 2021, 6:17 am

Zahanati ya Chanhumba yakabiliwa na ukosefu wa dawa

Na; Benard Filbert. Wakazi wa Kijiji Cha Chanhumba Kata ya Handali Wilayani Chamwino wamelalamikia ukosefu wa dawa katika Zahanati ya Kijiji hicho hali inayowalazimu kununua dawa katika maduka ya dawa. Hayo yameelezwa na wakazi wa Kijiji hicho wakati wakizungumza na…