afya ya akili
18 October 2023, 9:29 am
FAO yaahidi kuunga mkono juhudi za Tanzania
Mkutano huo ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka nchi wanachama, viongozi wakuu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa. Na Mindi Joseph. Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa amesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) limeahidi kuunga mkono jitihada za…
28 March 2023, 1:42 pm
Biashara ya chakula jijini Dodoma yashuka
Wafanyabiashara wa vyakula jijini Dodoma wamelalamikia ugumu wa biashara hususani katika kipindi hiki ambapo waislamu na baadhi ya wakristo wakiwa katika kipindi cha mfungo. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara wa vyakula jijini Dodoma wamelalamikia ugumu wa biashara hususani katika kipindi hiki…
16 September 2022, 1:01 pm
Serikali yasisitiza umuhimu wa lishe bora shuleni
Na; Alfred Bulahya. Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imesema kuwa ili kupata matokeo mazuri ya elimu ni lazima kuhakikisha upatikanaji wa lishe bora shuleni ili kuwajengea wanafunzi afya bora na kupata utulivu wa akili wawapo madarasani. Akizungumza Jijini…
7 March 2022, 1:46 pm
Jamii inahitaji zaidi Elimu ya Afya ya akili
Na; Benard Filbert. Wadau wa afya nchini wameombwa kuwekeza katika utoaji wa elimu ya afya ya akili kwa vijana ili kuwasaidia kuondokana na changamoto mbalimbali. Hayo yameelezwa na mkurugenzi wa huduma za tiba kutoka wizara ya afya wakati akizungumza na…
12 October 2021, 12:57 pm
Serikali yatakiwa kuongeza nguvu katika kuwekeza na kupambana na magonjwa ya Afy…
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa serikali kuongeza nguvu ya kuwekeza katika magonjwa ya afya ya akili . Wito huo umetolewa na Rais na muasisi kutoka shirika la afya ya akili ya Jamii Tanzania (CMHI-Tanzania) Dr. Joshua John na kusema…
11 October 2021, 12:30 pm
Tanzania inakadiriwa kuwa na watu milioni saba wenye matatizo yanayo husiana na…
Na; Yussuph Hans. Wakati Dunia ikiadhimisha Siku ya Afya ya Akili hapo jana, imeelezwa kuwa Tanzania inakadiriwa kuwa na watu milioni saba wenye matatizo yanayohusiana na afya ya akili. Hata hivyo, sababu mbalimbali zimetajwa kusababisha matatizo ya afya ya akili…