wapendanao
21 December 2023, 4:52 pm
Jeshi la polisi laanza uchunguzi madai ya raia kunyanyaswa na maaskari
SACP Misime amewaomba wananchi wenye ushahidi kulingana na malalamiko yalivyowasilishwa na walalamikaji katika mitandao ya kijamii asisite kujitokeza ili uchunguzi huo ukamilike mapema na hatua zingine za kisheria zifuate. Na Mariam Kasawa.Jeshi la polisi limesema kuwa limeanza kufanyia uchunguzi malalamiko…
30 November 2023, 2:00 pm
Polisi wanawake watakiwa kutafuta fursa kufikia malengo
Jeshi la polisi mkoani Dodoma linashiriki katika maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia duniani zilizoanza novemba 25 na zinatarajiwa kufikia tamati Disemba 10. Na Arafa Waziri. Maofisa wa Jeshi la Polisi wanawake Mkoani Dodoma wametakiwa kufanya kazi…
14 February 2022, 5:40 pm
Jamii imetakiwa kuichukulia siku ya valentine kuwa ni siku ya kuonyesha upendo k…
Na; Benard Filbert. Jamii imetakiwa kuacha dhana potofu kuwa siku ya wapendanao ni siku ya watu waliopo kwenye ndoa na badala yake siku hiyo itumike kuonesha upendo kwa kila mtu katika jamii. Hayo janajiri kufuatia dhana iliyopo katika jamii asilimia…