SERIKALI
28 March 2024, 6:52 pm
CAG awasilisha ripoti kwa Rais Dkt. Samia Suluhu
Deni hilo linajumuisha deni la ndani Shilingi Trilioni 28.92 deni la nje Shilingi Trilioni 53.32. Na Seleman Kodima.Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa serikali (CAG) Charles E. Kichere, amesema kuwa deni la Serikali hadi kufikia Juni 30, 2023 lilikuwa Shilingi Trilioni…
27 March 2024, 3:51 pm
Wanawake Mnadani wazungumzia miaka mitatu ya Rais Samia
Itakumbukwa kuwa Rais dkt Samia Suluhu Hassan ndie Rais wa kwanza mwanamke hapa nchini Tanzania na Afrika Mashariki ambapo aliapishwa rasmi march 19 mwaka 2021. Na Mariam Matundu.Ikiwa ni miaka mitatu tangu Rais Samia aingie madarakani maendeleo katika sekta mbalimbali…
20 March 2024, 7:04 pm
Wananchi waelezea mafanikio ya miaka mitatu ya Rais samia
Ni takribani miaka mitatu imepita tangu kuapishwa kwa rais wa wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh samia Suluh Hasan Tareh 19 machi mwaka 2021. Na Thadei Tesha. Wananchi jijini Dodoma wamelezea mafanikio ya miaka mitatu ya uongozi wa serikali…
21 March 2022, 1:54 pm
Serikali kuanza utelekelezaji wa mradi wa maji bwawa la Farkwa
Na; Mariam Matundu. Katika kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa maji mkoani Dodoma serikali imesema iko mbioni kuanza utekelezaji wa mradi wa maji wa bwawa la Farkwa . Akizungumza na taswira ya habari mkurugenzi wa bonde la wamiruvu kutoka wizara…
16 December 2021, 2:12 pm
Rais Samia kuunda wizara itakayo shughulikia masuala ya jinsia
Na; Mariam Matundu. Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ili kutekeleza kikamilifu ahadi za nchi kuhusu kizazi chenye usawa ataunda wizara maalumu itakayo shughulikia masuala ya jinsia . Rais samia amesema hayo katika uzinduzi wa…
30 November 2021, 12:34 pm
Serikali yatarajia kuzindua ujenzi wa ofisi za wizara awamu ya pili
Na; Mariam Matundu. Serikali inatarajia kuzindua ujenzi wa ofisi za Wizara awamu ya pili zinazojengwa katika mji wa Serikali pamoja na uzinduzi wa huduma za kijami ikiwemo uwekaji wa jiwe la msingi kituo cha polisi chenye hadhi ya daraja la…