Dodoma FM

miamala

16 June 2023, 2:53 pm

Uboreshaji miundombinu Bahi wawakomboa mama lishe

Uwepo wa miradi mingi ya ujenzi wa miundombinu ya elimu na afya wilayani Bahi  umeongeza fursa ya vijana na akina mama ambao baadhi yao wameshiriki moja kwa moja katika kazi za ujenzi, na  wengine kuuza vifaa vya ujenzi katika miradi…

2 May 2023, 12:21 pm

Wanachama wa WAUVI waanza uzalishaji wa bidhaa

Mafunzo hayo yamekuwa yakiratibiwa na shirika la kuhudumia viwanda vidogo sido mkoa wa Dodoma. Na Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa asilimia 80 ya wanachama wa Taasisi ya wanawake na Uchumi wa Viwanda wilaya ya Dodoma Mjini WAUVI wameanza kufanya uzalishaji wa…

28 March 2023, 2:00 pm

WAUVI yazindua mafunzo kwa wajasiriamali 500 Dodoma

Mafunzo hayo yamezinduliwa leo jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Taasisi hiyo bi Habiba Ryengite yatakaohusisha wanawake 400. Na Alfred Bulahya Taasisi ya Wanawake na uchumi wa viwanda WAUVI imezindua mafunzo kwa wajasiriamali 500 Jijini Dodoma kwa ajili ya kuwawezesha kutengeneza…