miamala
16 June 2023, 2:53 pm
Uboreshaji miundombinu Bahi wawakomboa mama lishe
Uwepo wa miradi mingi ya ujenzi wa miundombinu ya elimu na afya wilayani Bahi umeongeza fursa ya vijana na akina mama ambao baadhi yao wameshiriki moja kwa moja katika kazi za ujenzi, na wengine kuuza vifaa vya ujenzi katika miradi…
2 May 2023, 12:21 pm
Wanachama wa WAUVI waanza uzalishaji wa bidhaa
Mafunzo hayo yamekuwa yakiratibiwa na shirika la kuhudumia viwanda vidogo sido mkoa wa Dodoma. Na Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa asilimia 80 ya wanachama wa Taasisi ya wanawake na Uchumi wa Viwanda wilaya ya Dodoma Mjini WAUVI wameanza kufanya uzalishaji wa…
3 April 2023, 2:15 pm
Wajasiriamali wanawake watakiwa kutengeneza bidhaa zenye ushindani wa soko
Wajasiriamali hao wametakiwa kwenda kufanyia kazi mafunzo waliyo patiwa kwa kutengeneza bidhaa bora zenye kuleta ushindani katika soko. Na Alfred Bulahya. Wajasiriamali kutoka taasisi ya wanawake na uchumi wa viwanda WAUVI waliokuwa wakipatiwa mafunzo ya utengenezaji sabuni za maji na…
28 March 2023, 2:00 pm
WAUVI yazindua mafunzo kwa wajasiriamali 500 Dodoma
Mafunzo hayo yamezinduliwa leo jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Taasisi hiyo bi Habiba Ryengite yatakaohusisha wanawake 400. Na Alfred Bulahya Taasisi ya Wanawake na uchumi wa viwanda WAUVI imezindua mafunzo kwa wajasiriamali 500 Jijini Dodoma kwa ajili ya kuwawezesha kutengeneza…
1 September 2021, 1:06 pm
Wakazi wa Jiji la Dodoma waipongeza Serikali kwa kufanya marekebisho sheria ya t…
Na;Yussuph Hans. Wakazi Mkoani Dodoma wamepongeza hatua ya Serikali kufanyia marekebisho sheria mpya ya tozo za miamala huku wakiomba serikali kuendelea kuangalia namna ya kupata fedha za kuboresha huduma za kijamii Nchini. Wakizungumza na taswira ya habari kwa nyakati tofauti…
16 July 2021, 1:43 pm
Wakazi jijini Dodoma wameiomba serikali kuangalia upya makato yanayo tozwa kwa s…
Na;Yussuph Hans. Wakazi Jijini Dodoma wamelalamikia ukubwa wa makato yanayotozwa kwa sasa katika miamala ya fedha kwa njia ya simu, huku wakiomba Serikali kuangali tena sheria hiyo upya. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wakazi hao wamesema kuwa makato…