Mbegu
5 February 2024, 6:47 pm
Jamii yatakiwa kujitokeza kusaidia malezi
Kuna watoto wengi kwenye wanapitia changamoto ya kupata malezi inayotokana na ugumu wa maisha pamoja na wengine kukosa wazazi. Na Fred Cheti.Wito umetolewa kwa jamii kujitokeza kusaidia katika malezi kwa watoto wenye uhitaji wa huduma hiyo kwa kuwachukua na kuwapatia…
12 January 2023, 2:22 pm
Jamii na dhana ya kubemenda mtoto
Na; Mariam kasawa Dhana ya kubemenda mtoto ni dhana ambayo imekuwa ikiaminiwa na jamii nyingi za Afrika hususani Nchini Tanzaniaa. Makabila tofauti yamekuwa na utaratibu wao pindi mama anapo jifungua na wakati wa kulea mtoto baba na mama hufundishwa na…
7 September 2021, 2:11 pm
Wizara ya kilimo yaombwa kuupa mkoa wa Dodoma kipaumbele katika upatikanaji wa m…
Na;Mindi Joseph . Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mjini Mh Jabiri Shekimweri ameiomba wizara ya kilimo kuhakikisha Mkoa wa Dodoma unapewa kipaumbele katika upatikanaji wa mbengu bora za kilimo ili kutatua adha ya mbegu kwa wakulima. Akizungumza na Taswira ya…