homa ya ini
11 July 2022, 1:46 pm
Wilaya ya Mpwapwa yapongezwa kwa kufanya vizuri katika anuani za makazi
Na; Alfred Bulahya. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. Geroge Simbachawene amepongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kwa kutekeleza vizuri zoezi la anwani za makazi. Waziri Simbachawene ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya…
9 June 2022, 3:20 pm
Umbali wa Vitongoji Ovada wachelewesha zoezi la anuani za makazi
Na; Benard Filbert. Umbali wa vitongoji katika kata ya Ovada wilayani Chemba imetajwa kuwa changamoto iliyosababisha zoezi la anuani za makazi kutokukamilika kwa wakati katika eneo hilo. Hayo yameelezwa na diwani wa kata ya Ovada Bwana Raphael Reda wakati akizungumza…
2 May 2022, 3:21 pm
Chemba yafikia asilimia 88% Anuani za makazi
Na; Selemani Kodima. Wakati zoezi la Ukusanyaji wa taarifa za namba za anwani za Makazi likitegemewa kufika Tamati Mei 30, Wilaya ya Chemba imefika lengo katika zoezi la ukusanyaji wa taarifa za anwani za makazi kwa kukusanya taarifa 72958 Sawa…
21 February 2022, 3:32 pm
Uchangiaji wa vifaa vyenye ncha kali watajwa kuchangia maambukizi ya homa ya ini
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa kuchangia matumizi ya vifaa vyenye ncha kali ni miongoni mwa sababu zinazoweza kupelekea ugonjwa wa ini. Hayo yameelezwa na daktari bingwa wa magonjwa ya figo kutoka Hospital ya Benjamin Mkapa Bwana Festo Sizamin wakati akizungumza…
29 July 2021, 9:25 am
Homa ya ini yaelezwa kuua idadi kubwa ya watu Duniani kila mwaka.
Na;Mindi Joseph. Takribani watu 88,4000 hufariki kila mwaka kutokana na matatizo ya homa ya ini kwa mujibu wa Takwimu za shirika la afya Duniani. Kupitia taarifa ya Waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto iliyotolewa kwa vyombo…