habari za Dodoma
1 May 2023, 2:49 pm
Madiwani waomba umeme katika Vitongoji
Mrindoko amesema kutakuwa na SWITCHING STATION eneo la mbande itakayosaidia upatikanaji wa umeme pale inapotokea tatizo eneo Moja lisilete ukosefu wa umeme eneo lingine. Na Bernadetha Mwakilabi. Waheshimiwa madiwani ambao ni wawakikishi wa wananchi wameomba huduma ya umeme kwenye vitongoji…
10 April 2023, 11:50 am
Nishati mbadala kuwanufaisha wakazi wa Makang’wa
Mradi huo unaotekelezwa kwa fedha kutoka Mfuko wa umoja wa wanawake( UWT) wilayani humo unatarajia kunufaisha moja ya kikundi cha wanawake katika kijiji hicho. Na Fred Cheti Baadhi ya wanawake wa kijiji cha Makang’wa wilayani Chamwino wanatarajia kunufaika na mradi…
8 February 2023, 12:50 pm
Ukosefu wa nishati ya umeme yaleta chuki kwa viongozi
Imelezwa kuwa kukosekana kwa huduma ya nishati ya umeme kwa baadhi ya vitongoji katika Kata ya Idifu imesababisha baadhi wananchi kujenga chuki kwa viongozi na kutaja kitendo cha kukosekana kwa nishati hiyo ni uzembe wa viongozi. Na Victor Chigwada. Mwenyekiti…
2 February 2023, 2:01 pm
Changamoto ya umeme yakwamisha maendeleo kata ya Loje Chamwino
Kuanguka kwa nguzo za umeme katika baadhi ya maeneo yenye huduma ya umeme katika kata ya Loje imetajwa kusababisha kukosekana kwa kuhuduma hiyo . Na Victor Chigwada Wananchi wa kijiji cha Ingunguli Kata ya Loje Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali…
22 January 2023, 10:18 am
Matumbulu walalamika gharama za umeme
Na; Mindi Joseph. Gharama kubwa ya kuunganisha umeme wa TANESCO katika mtaa wa Kusenha kata ya Mpungunzi imetajwa kuwa kikwazo kwa wananchi kuunganisha umeme huo. Gharama za kuunganisha umeme wa TANESCO ni zaidi ya laki tatu tofauti na umeme wa…
13 January 2023, 4:11 pm
Vijiji 64 vyapata umeme jiji la Dodoma
Mkoa wa Dodoma una miradi mitano ya Umeme Vijiji ambapo mradi uliokamilika umewezesha kupelekea umeme kwa maeneo 80 ndani ya Vijiji 64. Thomas mbaja ni mwakilishi wa REA amefafanua hilo ikiwa ni utekelezaji wa kuhakikisha umeme vijijini .
1 December 2022, 8:11 am
Wakazi wa Silwa walalamika kukosa huduma ya Umeme
Na; Victor Chigwada . Pamoja na jitihada za kusambaza umeme zinazo endelea nchini katika maeneo yaliyopo nje ya miji lakini bado baadhi ya maeneo yameendelea kuwa na kilio cha huduma hiyo. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi wa…
1 December 2022, 7:29 am
Serikali yasaini mkataba wa uzalishaji na ugawanaji mapato
Na; Mariam Kasawa. Baada ya miaka 12 Serikali ya Tanzania imesaini mkataba wa uzalishaji na ugawanaji mapato (PSA) kitalu cha RUVUMA – MTWARA. Mkataba huu unaweka utaratibu wa serikali kupata zaidi. Kwa mara ya kwanza Serikali inapata kwenye Mapato ghafi…
21 October 2022, 9:57 am
Wakazi wa Chenene waiomba serikali iwafikishie huduma ya umeme
Na; Benard Filbert. Wakazi wa kijiji Cha Chenene wilaya ya Chamwino wameiomba serikali kuwafikishia huduma ya nishati ya umeme ili kusaidia uchumi wa kijiji hicho kukua zaidi. Hayo yamesemwa na wakazi wa kijiji hicho wakati wakizungumza na taswira ya habari…
18 October 2022, 6:10 am
Wakazi wa Miganga waiomba serikali kuendelea kusambaza umeme
Na; Benard Filbert. Wakazi wa kijiji cha Miganga Kata ya Idifu wilaya ya Chamwino wameiomba serikal kuendelea kusambaza nishati ya umeme katika kijiji hicho hali itakayosaidia kukua kwa uchumi. Ombi hilo wamelitoa wakati wakizungumza na Taswira ya habari kuhusu uwepo…