dawa za kulevya
7 September 2023, 1:56 pm
Madereva watakiwa kujaza mafuta gari ikiwa haina abiria
Je sheria hii imatambulika na imekuwa ikifuatwa na madereva wa vyombo vya moto hususani Magari ya abiria. Na Thadei Tesha. Madereva wa vyombo vya moto wametakiwa kutambua kuwa ni kosa kisheria kujaza Gari mafuta na abiria wakiwa ndani ya gari.…
18 October 2022, 6:44 am
Wakazi jijini Dodoma waomba kupunguziwa gharama za usafirishaji
Na; Mariam Matundu. Wananchi jijini Dodoma wameomba kuboreshewa usafirishaji ili kupunguza gharama za usafiri zinachochangia kupanda kwa gharama za maisha siku hadi siku. Denis mandia ni mkazi wa dodoma yeye amesema kuwa suala la kupanda kwa gharama za usafirishaji zinachochea…
16 March 2022, 1:43 pm
Ukosefu wa ajira chanzo cha matumizi ya dawa za kulevya
Na; Elizabeth Japhet. Ukosefu wa ajira unatajwa kuwa moja ya sababu inayosababisha baadhi ya vijana kujihusisha na utumiaji wa dawa za kulevya. Bwana Swaleh ni miongoni mwa wahanaga wa dawa za kulevya na mfanyabiashara wa soko kuu la majengo jijin…
18 January 2022, 3:01 pm
Jamii imetakiwa kuwapa nafasi vijana waliochana na matumiziya dawa za kulevya
Na ; Fred Cheti. Jamii imeombwa kutoa ushirikiano wa kutosha kwa watu waliochana na matumizi ya dawa za kulevya. Ikiwemo kuwapatia nafasi katika fursa mablimbali za kimaendeleo kuwasaidia wasiweze kurudi katika matumizi ya dawa hizo. Wakionekana kuwa na matumaini mapya…
22 October 2021, 12:27 pm
Kukosekana kwa utu ni chanzo cha kushamiri kwa biashara ya dawa za kulevya
Na; Fred Cheti. Kukosekana kwa utu inatajwa kuwa chanzo cha kushamiri kwa biashara ya dawa za kulevya duniani kote kwa kua biashara hiyo inatajwa kudhalilisha utu na heshima ya binadamu. Hii ni kulingana na shirika la habari la kidini la…