Uhuru
28 August 2024, 1:50 am
Watatu wahukumiwa kifo mauaji ya Milembe Geita
Washtakiwa watatu kati ya wanne (wa kwanza kulia, wa kati na dada wa nyuma) waliokuwa wakishtakiwa kwa kosa la mauaji ya Milembe Suleiman (43) wametiwa hatiani kwa kutenda kosa hilo na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa. Na: Daniel Magwina – Geita…
27 August 2024, 06:07
Kurasa za magazeti leo 27/8/2024
26 August 2024, 15:32
Chunya yapiga hatua kimaendeleo
Chunya ni moja ya halmashauri inayounda mkoa wa Mbeya ambapo kwa sasa halmashauri hiyo imefunguka kiuchumi tofauti na miaka ya nyuma, kwasasa halmashauri hiyo inafikika kirahisi kutokana na uwepo wa barabara nzuri huku ikisifika katika uchimbaji wa madini pamoja na…
26 August 2024, 15:03
Wananchi 42,000 kunufaika na mradi wa maji Itagano Mwansekwa
Kiongozi wa Mwenge amempongeza Ubora wa Mradi huo na kuwaomba Wananchi kutunza vyanzo vya Maji. Na Hobokela Lwinga Mwenge wa Uhuru 2024 kupitia kwa Kiongozi wake Ndg: Godfrey Mnzava na timu yake umeweka Jiwe la Msingi Mradi wa Maji Itagano-Mwansekwa…
26 August 2024, 07:39
Kurasa za magazeti Agosti 26, 2024
22 August 2024, 08:53
Kurasa za magazeti Agosti 22, 2024
21 August 2024, 09:45
Kurasa za magazeti ya Tanzania leo Jumatano 21 Agosti 2024
20 August 2024, 08:21
Kurasa za magazeti Jumanne Agosti 20, 2024
7 August 2024, 7:10 pm
Vijana na wanawake watakiwa kuigeukia fursa ya ufugaji na uvuvi
Nini kinachowakwamisha vijana kujikita katika Sekta ya Ufugaji? Na Fred Cheti.Vijana na Wanawake wametakiwa kuzigeukia fursa za Ufugaji na Uvuvi kupitia mitaji wanayopata badala ya Biashara pekee ili waweze kujikwamua kiuchumi wao na Taifa kwa ujumla. Hayo yameelezwa na Mkuu…
3 August 2024, 06:24