Radio Tadio

Nishati

14/04/2021, 12:04

KIBAWASA kutekeleza mradi wa maji Kibaigwa

Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa  endapo mradi mpya wa maji ambao unatekelezwa katika mji mdogo wa Kibaigwa utakamilika utasiaidia kuondoa tatizo la maji kwa wakazi wa eneo hilo. Hayo yameelezwa na afisa uhusiano kutoka mamlaka ya maji Kibaigwa Water Sanitation…

13/04/2021, 13:16

DUWASA kukabiliana na wezi wa maji Dodoma

Na; Mindi Joseph Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Binilith Mahenge ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira( Duwasa) kukabiliana na wezi wa maji na uvujifu wa maji pamoja na kuwachukulia hatua watumishi wa Duwasa wasio waminifu wanaochangia hasara…

13/04/2021, 08:56

Mlebe walia na ukosefu wa maji na umeme kijijini hapo

Na ;Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Mlebe  Wilaya ya Chamwino wametoa shukrani  kwa wakala wa usimamizi wa barabarani vijijini TARURA  kwakupunguza adha ya ubovu wa barabara kijijini hapo. Wakizungumza na Taswira ya habari Wananchi hao wamesema kuwa wanaishukuru TARULA…