
Kilimo

25 March 2025, 2:56 pm
Pemba waomba ligi ya mpira wa pete
Na Is-haka Mohamed Kutokuwepo kwa mashindano ya aina mbalimbali kunaelezwa kuhatarisha kutoweka kabisa kwa mpira wa pete (Netball) kisiwani Pemba. Hayo yameelezwa na baadhi ya wachezaji wa mpira huo katika timu ya Mchangamdogo Centre wakati walipotembelewa na timu ya waandishi…

25 March 2025, 13:01
Wanafunzi elimu ya watu wazima waomba kuboreshewa miundombinu
November 24 mwaka 2021 aliyekuwa waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako alitangaza kuruhusiwa kurejea shuleni kwa wanafunzi waliokatisha masomo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito kurejea shuleni kwa mfumo rasmi baada ya kujifungua. Na Josephine Kiravu Wanafunzi…

19 March 2025, 4:55 pm
IPOSA yatajwa kuwakwamua vijana kiuchumi mkoani Simiyu
‘‘Aliyesema kuwa elimu ni ufunguo wa maisha ni kweli hakukosea ndiyo tunawatu wengi sana ambao hawakuweza kupata elimu ndani ya mfumo rasmi lakini haimaanishi kuwa watu hawa wasiweze kupata fursa ya elimu hata ya ufundi stadi ili kuondoa utegemezi kwenye…

18 March 2025, 14:34
NIT yatoa mafunzo ya usalama barabarani Kigoma
Chuo cha Taifa cha usafirishaji NIT chatoa elimu ya usalama barabarani kwa wananchi mkoani Kigoma Na Hagai Ruyagila Chuo Cha taifa cha usafirishaji NIT kupitia kituo chake cha kikanda cha umahiri katika usalama barabarani kimeandaa mafunzo ya usalama barabarani kwa…

17 March 2025, 15:27
Utekelezaji hafifu wa njia za kuimarisha usalama changamoto kwa wanafunzi shule…
Serikali yabaini Utekelezaji hafifu wa njia za kuimarisha usalama wa wanafunzi kuwa miongoni mwa changamoto zinazowakabili wanafunzi shuleni hasa wenye mahitaji maalumu Na Hagai Ruyagila Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Elimu sayansi na Taknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya…

14 March 2025, 12:23
Halmashauri ya wilaya ya Kasulu kupokea vyandarua zaidi ya laki 3
Halmashauri ya wilaya ya Kasulu inatarajia kupokea vyandarua vyenye dawa bila malipo zaidi ya laki 3 kwa wananchi watakao jiandikisha Na Hagai Ruyagila Watendaji wa kata halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia kampeni ya ugawaji wa vyandarua…

3 March 2025, 12:36 pm
Maswa:Halmashauri maswa yazindua mnada mpya
Halmashauri Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeendelea na adhima yake ya kuhakikisha inaongeza ukusanyaji wa mapato kwa kuanzisha vyanzo vipya vya mapato kwa lengo la kuharakisha maendeleo Wilayani hapo Na, Alex Sayi-Maswa Simiyu. Halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu imeanzisha gulio na…

2 March 2025, 11:16 am
Mnada mpya wazinduliwa Maswa, Watajwa kuongeza Mapato ya Halmashauri
Malengo ya kuanzishwa kwa Mnada huo ni kusogeza huduma kwa Ukaribu ya uuzaji wa Mifugo, Upatikanaji wa Mahitaji mbalimbali ya kila siku kwa Wananchi wa Wigelekelo na maeneo jirani pamoja na kuongeza wigo wa Ukusanyaji wa Mapato katika Halmashauri Na…

1 March 2025, 9:42 am
Kyerwa yajivunia ongezeko la sekondari za kidato cha tano na sita
Ofisi za uthibiti ubora wa elimu katika halmashauri za wilaya mkoani Kagera zimeendelea na ufuatiliaji wa miradi ya elimu na kuishukuru serikali kwa jinsi inavyoendelea kusajili na kusimamia shule za msingi na sekondari Na Ezra Lugakila Afisa uthibiti ubora wa…

26 February 2025, 14:38
TEA yakabidhi mradi wa nyumba nne na madarasa matatu Kasulu
Serikali imeendelea kuboresha elimu nchini kwa kujenga vyumba vya madarasa ili wananfunzi waweze kupata elimu bora. Na Hagai Ruyagila Mamlaka ya Elimu Tanzania TEA imekabidhi mradi wa nyumba nne kwa shule ya sekondari Nyumbigwa na madarasa matatu katika shule ya…