Kilimo
10 Machi 2026, 16:37
Shirika la Posta lakabidhi madawati 100 shule ya msingi Kigondo Kasulu
Shirika la Posta Tanzania limesema litaendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha miundombinu ya elimu kwa lengo la kuinua taaluma kwa wanafunzi kwa kuhakikisha wanafunzi wanajifunza katika mazingira rafiki. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma…
6 Machi 2026, 11:36
VETA Kigoma yaendelea kukuza ujuzi kwa vijana
Katika dunia ya leo, ujuzi wa kazi ni muhimu kwa maendeleo ya vijana na taifa kwa ujumla na wengi wanahitaji mafunzo ya vitendo ili waweze kujitegemea na kuchangia katika maendeleo ya jamii ambapo VETA imekuwa na mchango mkubwa katika kuwasaidia…
2 Machi 2026, 12:09
Mbunge achangia milioni 2 kutatua changamoto ya madawati Buhigwe
Elimu ni msingi muhimu katika maendeleo ya mtoto na taifa kwa ujumla hata hivyo katika mchakato wa kujifunza, kumekuwepo na changamoto mbalimbali zinazoathiri ufanisi wa masomo darasani ikiwemo ni tatizo la watoto kukaa chini kwa kukosa madawati. Na Mwandishi wetu…
2 Machi 2026, 09:23
Utoaji chakula shuleni Wilaya ya Uvinza umefikia 60%
Chakula shuleni ni nguzo muhimu katika kuhakikisha mwanafunzi anakuwa na afya njema, anafaulu masomo, na anakua katika mazingira bora ya kielimu. Na Mwandishi wetu Wilaya ya Uvinza imejipanga kuendelea kuboresha utoaji wa chakula shuleni ikiwa ni mkakati mojawapo wa kuongeza…
27 Febuari 2026, 17:22
Vijana 50 wanufaika elimu ya biashara Kibondo
Katika dunia ya leo yenye ushindani mkubwa wa kiuchumi, vijana wanahitaji maarifa na ujuzi utakaowawezesha kujitegemea na kukabiliana na changamoto za maisha na mojawapo ya elimu muhimu wanayopaswa kupewa ni elimu ya biashara ili iweze kuwasaidia kuelewa misingi ya ujasiriamali,…
13 Febuari 2026, 14:15
DED Kasulu ahimiza nidhamu kwa walimu na wanafunzi kuongeza ufaulu
Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imewataka walimu wakuu wa shule za Sekondari kuhakikisha wanasimamia nidhamu ili kuongeza ufaulu Na Hagai Ruyagila Wakuu wa Shule za Sekondari katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia suala la nidhamu…
22 Januari 2026, 5:56 um
Diwani masama kusini kujenga jiko jipya shule ya Msingi Nkwamaku
Diwani wa kata ya Masama Kusini akerwa na ubovu wa jiko la kupikia chakula cha wanafunzi katika shule ya Msingi Nkwamakuu, ameahidi kuvunja na kujenga jiko jingine. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Wananchi wa kitongoji cha Nkwamakuu kata ya masama kusini…
19 Januari 2026, 13:06
Walimu watakiwa kufanya kazi kwa kujituma Kasulu
Elimu ni nguzo muhimu katika maendeleo ya mtu binafsi na taifa kwa ujumla na taifa lolote linalotamani maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kiteknolojia haliwezi kufanikiwa bila kuwa na mfumo wa elimu imara. Na Michael Mpunije Walimu wa shule za msingi…
16 Januari 2026, 15:35
Walimu wapewa mafunzo kuwajengea wanafunzi uelewa somo la kingereza
Afisa Elimu Mkoa wa Kigoma Mwalimu Paulina Ndigeza amewataka walimu kuhakikisha wanafundisha matumizi ya msingi wa awali (baseline) ili kuwajengea uwezo wanafunzi wa somo la kingereza Na Hagai Ruyagila Walimu wakuu pamoja na walimu wa kidato cha kwanza katika Halmashauri…
16 Januari 2026, 14:15
Kigoma waaswa kuchukua tahadhari majanga ya moto kwenye usafiri
Jeshi la Zima moto na uokoaji Mkoani Kigoma limewataka wananchi kuhakikisha wanachukua tahadhari za majanga ya moto. Na Sadiki Kibwana Wananchi wanaotumia bandari za Mkoa wa Kigoma wametakiwa kuchukua tahadhari mapema kabla ya kuanza kusafiri majini ili kujikinga na majanga…