Radio Tadio

Kilimo

25 March 2025, 2:56 pm

Pemba waomba ligi ya mpira wa pete

Na Is-haka Mohamed Kutokuwepo kwa mashindano ya aina mbalimbali kunaelezwa kuhatarisha kutoweka kabisa kwa mpira wa pete (Netball) kisiwani Pemba. Hayo yameelezwa na baadhi ya wachezaji wa mpira huo katika timu ya Mchangamdogo Centre wakati walipotembelewa na timu ya waandishi…

25 March 2025, 13:01

Wanafunzi elimu ya watu wazima waomba kuboreshewa miundombinu

November 24 mwaka 2021 aliyekuwa waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako alitangaza kuruhusiwa kurejea shuleni kwa wanafunzi waliokatisha masomo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito kurejea shuleni kwa mfumo rasmi baada ya kujifungua. Na Josephine Kiravu Wanafunzi…

19 March 2025, 4:55 pm

IPOSA yatajwa kuwakwamua vijana kiuchumi mkoani Simiyu

‘‘Aliyesema kuwa elimu ni ufunguo wa maisha ni kweli hakukosea ndiyo tunawatu wengi sana ambao hawakuweza kupata elimu ndani ya mfumo rasmi lakini haimaanishi kuwa watu hawa wasiweze kupata fursa ya elimu hata ya ufundi stadi ili kuondoa utegemezi kwenye…

18 March 2025, 14:34

NIT yatoa mafunzo ya usalama barabarani Kigoma

Chuo cha Taifa cha usafirishaji NIT chatoa elimu ya usalama barabarani kwa wananchi mkoani Kigoma Na Hagai Ruyagila Chuo Cha taifa cha usafirishaji NIT kupitia kituo chake cha kikanda cha umahiri katika usalama barabarani kimeandaa mafunzo ya usalama barabarani kwa…

3 March 2025, 12:36 pm

Maswa:Halmashauri maswa yazindua mnada mpya

Halmashauri Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeendelea na adhima yake ya kuhakikisha inaongeza ukusanyaji wa mapato kwa kuanzisha vyanzo vipya vya mapato kwa lengo la kuharakisha maendeleo Wilayani hapo Na, Alex Sayi-Maswa Simiyu. Halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu imeanzisha gulio na…

26 February 2025, 14:38

TEA yakabidhi mradi wa nyumba nne na madarasa matatu Kasulu

Serikali imeendelea kuboresha elimu nchini kwa kujenga vyumba vya madarasa ili wananfunzi waweze kupata elimu bora. Na Hagai Ruyagila Mamlaka ya Elimu Tanzania TEA imekabidhi mradi wa nyumba nne kwa shule ya sekondari Nyumbigwa na madarasa matatu katika shule ya…