Radio Tadio

Kilimo

4 December 2025, 14:17

DC Kigoma asisitiza wanafunzi kupata chakula shuleni

Chakula ni sehemu muhimu sana katika maisha ya mwanafunzi shuleni hasa walio katika umri wa ukuaji, wanahitaji virutubisho vya kutosha kama protini, vitamini, madini, na wanga ili miili yao ikue kwa afya lishe duni inaweza kusababisha kudumaa, udhaifu, na magonjwa…

2 December 2025, 09:24

Wananchi waaswa kuendelea kulinda amani Kigoma

Amani ni nguzo muhimu katika maisha ya binadamu na msingi wa ustawi wa jamii yoyote ile bila amani, hakuna jambo linaloweza kufanikiwa ipasavyo na ndiyo maana jamii nyingi duniani huchukua hatua mbalimbali kuhakikisha kuwa amani inadumishwa na amani si jukumu…

1 December 2025, 16:25

Wazazi waaswa kufuatilia maendeleo ya watoto shuleni Kigoma

Wazazi wanapofuatilia maendeleo ya watoto wanaweza kugundua mapema kama mtoto ana matatizo ya kitaaluma, kitabia, au kihisia ili changamoto zikibainika, ni rahisi kupata suluhisho kabla hazijawa kubwa na ushiriki wa mzazi umethibitishwa kuwa na athari chanya kwenye matokeo ya mtoto…

26 November 2025, 15:47

World vision yakabidhi madarasa mapya na vyoo Kasulu

Shirika la World Vision Tanzania limekabidhi madarasa na vyoo kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya Kasulu ikiwa nisehemu ya kuunga mkono juhudi za kuboresha sekta ya elimu Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isaack Mwakisu, amelipongeza Shirika…

25 November 2025, 11:00

Wazazi waaswa kuzingatia elimu ya awali kwa watoto

Wito umetolewa kwa wazazi na walezi wilayani Kigoma mkoani Kigoma kuwekeza kwenye elimu kwa kuhakikisha wanawasomesha watoto wao ili waweze kufikia ndoto zao. Na Sofia Cosmas Wazazi na walezi wametakiwa kuwapeleka watoto kusoma elimu ya awali  katika shule  zilizopo  karibu…

24 November 2025, 12:32

Wazazi watakiwa kuchangia chakula shuleni Kibondo

Wazazi na Walezi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na desturi ya kuanda lishe bora kwa watoto Na Dotto Josephati Wazazi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wanatakiwa kuongeza juhudi kwa kuwachangia chakula cha watoto wao shuleni ili iwasaidie kuongeza ufanisi wa…

22 November 2025, 09:31

Wahitimu TIA Kigoma waaswa kuwa wabunifu katika biashara

Wahitimu wa fani mbalimbali katika chuo cha uhasibu ndaki ya Kigoma wametakiwa kuendelea kuwa wabunifu ili waweze kujiajiri na kuacha kuendelea kusubiri kuajiriwa na serikali au mashirika binafsi. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amewataka wahitimu…

21 November 2025, 08:34

RC Sirro ataka wakurugenzi kugeukia ufundishaji kidijitali

Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema kutokana na ukuaji wa teknolojia elimu haina budi kutolewa kwa kuzingatiamatumizi ya teknolojia kwa wanafunzi Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa  Kigoma Balozi Simon Sirro amewataka wakurugenzi wa  halmshauri za mkoa Kigoma kuongeza…

20 November 2025, 15:43

ENABEL yatoa msaada wa vifaa vya kufundishia Kigoma

Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema inaendelea kuthamini mchango wa mashirika mbalimbali yanayounga mkono juhudi za serikali katika kuboresha sekta ya elimu Na Lucas Hoha Shirika la Maendeleo la Ubelgiji ENABEL limekabidhi vifaa vya kidijitali vya kufundishia shuleni kwa Mkuu…