Radio Tadio

Familia

15 October 2024, 7:29 pm

MPWUWSA yakutana na wananchi kujadili kero za maji

Na Noel Steven Mamlaka ya maji safi Mpwapwa (MPWUWSA) imekutana na wananchi wa Wilaya ya Mpwapwa katika wiki ya huduma kwa mteja kujadili kero za maji zinzoawakabili wananchi kwa sasa. Katika kikao hicho ,  wananchi wameishauri mamlaka hiyo kufanya ukarabati…

7 October 2024, 6:59 pm

DUWASA waaswa  matumizi ya kauli kwa mteja

Na Fred Cheti                                                    Watendaji wa mamlaka ya maji safi DUWASA wameaswa  kutumia kauli njema katika kuwahudumia wananchi kikamilifu ili kupunguza malalamiko . Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa mazingira Dodoma (DUWASA) Mha. Aron Joseph amesema hayo leo…

10 September 2024, 7:22 pm

DUWASA kutatua adha ya maji Ng’ong’ona

Na Mindi Joseph . Kukamilika kwa ujenzi wa matenki mawili ya maji yenye ujazo wa lita laki 5 katika mtaa wa Ng’ong’ona kata ya Ng’ong’ona Jijini Dodoma kutatatua adha ya maji kwa wananchi wa eneo hilo. Ujenzi wa matenki hayo…

3 September 2024, 5:12 pm

DUWASA yashauriwa kutatua kero za maji kwa wananchi

Na Yusuph Hassan. Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mkoani Dodoma DUWASA imeshauriwa kuanzisha dawati kwa ajili ya kusikiliza na kutatua  kero za maji kwa wananchi. Ushauri huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Janet Mayanja akizungumza katika…

15 August 2024, 5:44 pm

Wakazi Mchito watatuliwa kero ya maji

Baadhi ya wananchi hao wametoa shukrani zao za dhati kwa shirika hilo kwani kupitia msaada wa kisima kirefu cha maji kimepelekea wananchi kujikita na kilimo cha umwagiliaji. Na Victor Chigwada.Wananchi wa kijiji cha Mchito wametoa shukrani kwa wadau na wahisani…

5 August 2024, 5:44 pm

Upatikanaji wa maji Vikonje waimarika

Wanasema mwanzoni walikuwa wanapata maji yasiyo salama kutoka vyanzo visivyosahihi ila kwa sasa changamoto hiyo imepata suluhu kupitia mradi wa maji. Na Mindi Joseph.Upatikanaji wa Maji safi na salama katika Mtaa wa Vikonje A Kata ya Mtumba Mkoani Dodoma umeimarika…