
Familia

18 June 2025, 1:25 pm
Mabadiliko ya tabianchi yanavyo sababisha ukatili wa kijinsia kwa wanawake
Simulizi yetu inatupeleka katika kijiji cha Chali Igongo, wilayani Bahi mkoani Dodoma Katika maeneo mengi ya vijijini nchini Tanzania, mabadiliko ya tabia nchi yamekuwa tishio la kweli si kwa mazao tu, bali kwa maisha ya kila siku ya wanawake na…

10 June 2025, 6:14 pm
Baptist Sengerema waliombea taifa kuelekea uchaguzi mkuu 2025
Kufuatia uwepo wa matukio ya uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu 2025 viongozi na wamini wa kanisa la Baptist Sengerema wameungana na kufanya maombi ya kuliombea taifa ili liendelee kuwa kisiwa cha amani kama inavyotambulika kuwa Tanzania ni kisiwa cha…

5 June 2025, 3:36 pm
Wananchi Gendabi mbioni kunufaika na mradi wa maji wa bilion 1.2
Takribani wananchi 5,000 wa vijiji vitano katika kata hiyo wanatarajia kunufaika na mradi huo wa maji. Na Kitana Hamis.Takribani wananchi 5,000 kutoka vijiji vitano vya Kata ya Gendabi, Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, wanatarajiwa kunufaika na mradi wamaji unaotekelezwa kwa…

20 May 2025, 3:24 pm
Wakazi Chinugulu watembea umbali mrefu kutafuta maji
Aidha umbali uliopo kutoka Kijiji cha Chinugulu mpaka mto Kizito ambako ndipo maji yanapatikana ni hatari kwa wananchi kwani mto huo unatumiwa pia na wanyama waliopo katika hifadhi ya wanyama ya Ruaha. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa umbali wa zaidi…

15 May 2025, 5:22 pm
Maduka manne yavunjwa, mali zaibiwa mtaa wa Mbugani
‘Tunaendelea kumshikilia meneja wa kampuni inayolinda hapa ili aweze kutoa ushirikiano wa kubaini waliokuwa zamu ya usiku’ – Mwenyekiti wa mtaa Na: Kale Chongela: Maduka manne ya wafanyabiashara katika mtaa wa Mbugani kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita…

17 April 2025, 5:59 pm
Watumishi wa maji watakiwa kushirikisha wananchi tafiti za maji
Miradi hiyo itasaidia kuongeza hali ya uzalishaji maji huku akisema zaidi ya Bilioni 3 zimetumika kutekeleza mradi wa maji Nala. Na Mariam Kasawa.Waziri wa Maji Mhe Juma Aweso amewataka watumishi wa Wizara hiyo kuhakikisha wanaishirikisha jamii wanapofanya tafiti za kina…

15 April 2025, 5:41 pm
Wizara ya Maji kutatua kero ya maji Dodoma
Eneo la Nzuguni mpaka sasa lina Visima Tisa vilivyokamilika ambavyo vina uwezo wa kuzalisha maji wastani wa lita milioni Ishirini kwa siku. Na Yussuph Hassan.Waziri wa Maji Mhe Juma Aweso amesema licha ongezeko la watu katika jiji la Dodoma lakini…

2 April 2025, 5:26 pm
Wananchi Muungano watumia muda mrefu kutafuta maji
Aidha Taswira ya Habari inaendelea na juhudi ya kuutafuta uongozi wa RUWASA wilaya kujua hatua wanazochukua kutatua changamoto hiyo. Na Victor Chigwada.Uharibifu wa Miundombinu ya Maji katika kijiji cha Muungano kata ya Muungano umesababisha wananchi kukosa maji hali inayochangia wananchi…

26 March 2025, 5:38 pm
Watatu mbaroni kwa kutorosha dhahabu Bukombe
Jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi kuhusu usafirishaji wa dhahabu kwa njia ya magendo wilayani Bukombe Mkoani Geita. Na Mrisho Sadick: Watu watatu wanashikiliwa na jeshi la polisi Mkoani Geita Kwa tuhuma za kusafirisha dhahabu yenye thamani ya zaidi ya…

4 February 2025, 9:47 am
Wezi waiba na kuchinja ng’ombe wawili Nyankumbu
Matukio ya mifugo aina ya ng’ombe kuibiwa na kuchinjwa nyakati za usiku yameendelea kuacha maswali kwa wananchi katika mitaa mbalimbali ya manispaa ya Geita. Na: Edga Rwenduru – Geita Wakazi wa mtaa wa Elimu kata ya Nyankumbu halmashauri ya manispaa…