Familia
15 October 2024, 7:29 pm
MPWUWSA yakutana na wananchi kujadili kero za maji
Na Noel Steven Mamlaka ya maji safi Mpwapwa (MPWUWSA) imekutana na wananchi wa Wilaya ya Mpwapwa katika wiki ya huduma kwa mteja kujadili kero za maji zinzoawakabili wananchi kwa sasa. Katika kikao hicho , wananchi wameishauri mamlaka hiyo kufanya ukarabati…
7 October 2024, 6:59 pm
DUWASA waaswa matumizi ya kauli kwa mteja
Na Fred Cheti Watendaji wa mamlaka ya maji safi DUWASA wameaswa kutumia kauli njema katika kuwahudumia wananchi kikamilifu ili kupunguza malalamiko . Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa mazingira Dodoma (DUWASA) Mha. Aron Joseph amesema hayo leo…
10 September 2024, 7:22 pm
DUWASA kutatua adha ya maji Ng’ong’ona
Na Mindi Joseph . Kukamilika kwa ujenzi wa matenki mawili ya maji yenye ujazo wa lita laki 5 katika mtaa wa Ng’ong’ona kata ya Ng’ong’ona Jijini Dodoma kutatatua adha ya maji kwa wananchi wa eneo hilo. Ujenzi wa matenki hayo…
3 September 2024, 5:12 pm
DUWASA yashauriwa kutatua kero za maji kwa wananchi
Na Yusuph Hassan. Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mkoani Dodoma DUWASA imeshauriwa kuanzisha dawati kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero za maji kwa wananchi. Ushauri huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Janet Mayanja akizungumza katika…
15 August 2024, 5:44 pm
Wakazi Mchito watatuliwa kero ya maji
Baadhi ya wananchi hao wametoa shukrani zao za dhati kwa shirika hilo kwani kupitia msaada wa kisima kirefu cha maji kimepelekea wananchi kujikita na kilimo cha umwagiliaji. Na Victor Chigwada.Wananchi wa kijiji cha Mchito wametoa shukrani kwa wadau na wahisani…
13 August 2024, 4:03 pm
Wananchi Bahi Sokoni waipongeza serikali kuwasogezea huduma muhimu
Pamoja na maendeleo makubwa yaliyofanyika kwenye kijiji hicho bado wana uhaba wa huduma ya soko. Na Kadala Komba.Wananchi wa Kijiji cha Bahi Sokoni Wilayani Bahi Mkoani Dodoma wameipongeza Serikali kwa hatua ya kuwasogezea huduma muhimu za kijamii ikiwemo maji na…
6 August 2024, 6:13 pm
DUWASA kuendelea kushirikiana na mamlaka za serikali kufanikisha upatikanaji wa…
Itaendelea kushirikiana na mamlaka za serikali za mitaa katika kuhakikisha wanafanikisha upatikanaji wa maendeleo kwa wananchi. Na Seleman Kodima.Katika kuhakikisha wanatekeleza kauli mbiu ya Mwaka huu ya Maonesho ya wakulima na wafugaji Nane nane 2024,Mamlaka ya Maji safi na usafi…
5 August 2024, 5:44 pm
Upatikanaji wa maji Vikonje waimarika
Wanasema mwanzoni walikuwa wanapata maji yasiyo salama kutoka vyanzo visivyosahihi ila kwa sasa changamoto hiyo imepata suluhu kupitia mradi wa maji. Na Mindi Joseph.Upatikanaji wa Maji safi na salama katika Mtaa wa Vikonje A Kata ya Mtumba Mkoani Dodoma umeimarika…
2 August 2024, 5:26 pm
Kusuasua kwa huduma ya maji kero kwa wakazi wa mtaa wa Miganga
Mhandisi Aron Joseph anasema bado hawajaweza kufikia 100% ya malengo ya utoaji wa huduma za maji Dodoma lakini mpaka mwisho wa mwaka wa fedha wa 2024/25 watafikia 75%. Na Mindi Joseph.Kusuasua kwa upatikanaji wa huduma ya maji katika mtaa wa…
17 July 2024, 5:45 pm
Wakazi wa Nzuguni waombwa kuwa wavumilivu kwa siku kumi maboresho ya Tanki la ma…
Mhandishi Aron amewaomba wananchi kuhifadhi na kutumia maji kwa uangalifu. Na Mariam KasawaMkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Mhandisi Aron Joseph amewaomba wananchi wa Nzuguni na maeneo yanayohudumiwa na mradi wa maji wa Nzuguni…