Radio Tadio

Familia

20 May 2025, 3:24 pm

Wakazi Chinugulu watembea umbali mrefu kutafuta maji

Aidha  umbali uliopo kutoka Kijiji cha Chinugulu mpaka mto Kizito ambako ndipo maji yanapatikana ni hatari kwa wananchi kwani mto huo unatumiwa pia na wanyama waliopo katika hifadhi ya wanyama ya  Ruaha. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa umbali wa zaidi…

15 May 2025, 5:22 pm

Maduka manne yavunjwa, mali zaibiwa mtaa wa Mbugani

‘Tunaendelea kumshikilia meneja wa kampuni inayolinda hapa ili aweze kutoa ushirikiano wa kubaini waliokuwa zamu ya usiku’ – Mwenyekiti wa mtaa Na: Kale Chongela: Maduka manne ya wafanyabiashara katika mtaa wa Mbugani kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita…

15 April 2025, 5:41 pm

Wizara ya Maji kutatua kero ya maji Dodoma

Eneo la Nzuguni mpaka sasa lina Visima Tisa vilivyokamilika ambavyo vina uwezo wa kuzalisha maji wastani wa lita milioni Ishirini kwa siku. Na Yussuph Hassan.Waziri wa Maji Mhe Juma Aweso amesema licha ongezeko la watu katika jiji la Dodoma lakini…

2 April 2025, 5:26 pm

Wananchi Muungano watumia muda mrefu kutafuta maji

Aidha Taswira ya Habari inaendelea na juhudi ya kuutafuta uongozi wa RUWASA wilaya kujua hatua wanazochukua kutatua changamoto hiyo. Na Victor Chigwada.Uharibifu wa Miundombinu ya Maji katika kijiji cha Muungano kata ya Muungano umesababisha wananchi kukosa maji hali inayochangia wananchi…

26 March 2025, 5:38 pm

Watatu mbaroni kwa kutorosha dhahabu Bukombe

Jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi kuhusu usafirishaji wa dhahabu kwa njia ya magendo wilayani Bukombe Mkoani Geita. Na Mrisho Sadick: Watu watatu wanashikiliwa na jeshi la polisi Mkoani Geita Kwa tuhuma za kusafirisha dhahabu yenye thamani ya zaidi ya…

4 February 2025, 9:47 am

Wezi waiba na kuchinja ng’ombe wawili Nyankumbu

Matukio ya mifugo aina ya ng’ombe kuibiwa na kuchinjwa nyakati za usiku yameendelea kuacha maswali kwa wananchi katika mitaa mbalimbali ya manispaa ya Geita. Na: Edga Rwenduru – Geita Wakazi wa mtaa wa Elimu kata ya Nyankumbu halmashauri ya manispaa…