![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Familia
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2025/01/01-780x470-1-350x350.jpg )
23 January 2025, 6:06 pm
Vitongoji vitatu jijini Dodoma vyaililia serikali changamoto ya maji
Wakieleza namna ambavyo kukosekana kwa maji safi na salama kunavyo waathiri wananchi hao ,wananchi hao wameiomba Serikali kutatua adha hiyo. Na Victor Chigwada.Wananchi wa vitongoji vya Chidobwe,Kaunda na Liwangama Kolimba wameiomba Serikali kushughulikia changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2024/12/img-20241217-091757-134-350x350.jpg )
18 December 2024, 12:21
Wagonjwa wa kipindupindu Mbeya jiji wafikia 46
Uwepo wa mvua umesababisha uwepo wa ugonjwa wa kipindupindu kwa baadhi ya maeneo ya mkoa wa Mbeya. Na Hobokela Lwinga Halmashauri ya Jiji la Mbeya limethibisha uwepo wa wagojwa 46 wa kipindupindu kuanzia december 06,2024. Taarifa ya uwepo wa wagojwa…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2024/12/images-1-1-350x350.jpeg )
12 December 2024, 15:06
22 waugua kipindupindu Jijini Mbeya
Magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu yamekuwa yakisababishwa na uchafuzi wa mazingira. Na Hobokela Lwinga Mganga Mkuu Wa Halmashauri Ya Jiji La Mbeya Yesaya Mwasubila amesema wanaendelea Kuchukua hatua za kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa Kipindupindu kutokana na watu wanaougua ugonjwa…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2024/12/vlcsnap-2024-12-10-17h17m06s499-350x350.png )
10 December 2024, 5:19 pm
Ifahamu historia ya ‘Kisima cha Nyoka’
Je kwanini kisima hiki kiliita jina hilo hapa wazee wa eneo hilo wanaeleza. Leo Yussuph Hassan yupo kata ya Chang’ombe mtaa wa Mazengo akiangazia historia ya Kisima cha Nyoka kinachopatika katika eneo hili.
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2024/11/vlcsnap-2024-11-15-18h28m17s890-350x350.jpg )
15 November 2024, 7:40 pm
Bahi walia kero ya maji chumvi
Na. Anselima Komba. Wananchi Wilayani Bahi Wameiomba Serikali kutimiza ahadi ya kutatuliwa kwa kero ya maji chumvi kwa kuwaunganishai maji baridi kutoka katika kata ya Ibihwa. Baadhi ya wanachi wanasema Serikali kupitia wizara ya maji iliwaahidi kutatua adha ya maji…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2024/11/vlcsnap-2024-11-07-15h11m36s120-350x350.jpg )
7 November 2024, 5:55 pm
Serikali yawezesha RUWASA usafiri kufuatilia miradi
Na Steven Noel. Serikali imeipatia gari RUWASA wilaya ya Mpwapwa ili kuongeza ufanisi katika kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maji. Meneja wa Wakala wa Maji Vijijini RUWASA mkoa wa Dodoma Mwandisi Mbaraka Ally amezungumzia umuhimu wa chombo hicho cha usafiri…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2024/10/vlcsnap-2024-10-28-17h12m20s287-350x350.jpg )
29 October 2024, 4:00 pm
DUWASA yaondoa adha ya maji Kisasa
Na Selemani Kodima. Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira Dodoma DUWASA imekamilisha uchimbaji wa kisima cha maji kitakachowahudumia wananchi wapatao Elfu 28 jijini Dodoma katika maeneo ya Kisasa, Mwagaza na Nyumba Mia Tatu na utatekelezwa kwa kipindi cha…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2024/10/vlcsnap-2024-10-15-15h35m00s141-1-350x350.jpg )
15 October 2024, 7:29 pm
MPWUWSA yakutana na wananchi kujadili kero za maji
Na Noel Steven Mamlaka ya maji safi Mpwapwa (MPWUWSA) imekutana na wananchi wa Wilaya ya Mpwapwa katika wiki ya huduma kwa mteja kujadili kero za maji zinzoawakabili wananchi kwa sasa. Katika kikao hicho , wananchi wameishauri mamlaka hiyo kufanya ukarabati…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2024/10/vlcsnap-2024-10-07-17h58m35s080-1-350x350.jpg )
7 October 2024, 6:59 pm
DUWASA waaswa matumizi ya kauli kwa mteja
Na Fred Cheti Watendaji wa mamlaka ya maji safi DUWASA wameaswa kutumia kauli njema katika kuwahudumia wananchi kikamilifu ili kupunguza malalamiko . Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa mazingira Dodoma (DUWASA) Mha. Aron Joseph amesema hayo leo…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2024/09/vlcsnap-2024-09-10-16h22m57s601-350x350.jpg )
10 September 2024, 7:22 pm
DUWASA kutatua adha ya maji Ng’ong’ona
Na Mindi Joseph . Kukamilika kwa ujenzi wa matenki mawili ya maji yenye ujazo wa lita laki 5 katika mtaa wa Ng’ong’ona kata ya Ng’ong’ona Jijini Dodoma kutatatua adha ya maji kwa wananchi wa eneo hilo. Ujenzi wa matenki hayo…