Radio Tadio
29 Novemba 2021, 1:33 um
Na; Mindi Joseph. Wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga Taifa imesema itaendelea kuhakikisha kuwa mipaka ya nchi inakuwa salama huku akiwahimiza wananchi kushiriki kikamilifu katika ulinzi wa nchi. Akizungumza leo jijini Dodoma na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya…
2 Aprili 2021, 11:31 mu
Na; Mindi Joseph. Jeshi la polisi Mkoani Dodoma limejipanga kuhakikisha linaimarisha ulinzi katika maeneo yote ya nyumba za ibaada ikiwa ni pamoja na kudhibiti uhalifu katika sikuku ya Pasaka. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dodoma Kamanda wa Jeshi…