Buha FM Radio
Buha FM Radio
November 26, 2025, 12:40 am
Wadau wa maendeleo wa miradi ya World VisionTanzania katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wameombwa kuitunza miradi inayotekelezwa na shirika hilo ili ije kusaidia vizazi vijavyo. Na; Ramadhan Zaidy Shirika la maendeleo la World Vision Tanzania linalotekeleza miradi katika Halmashauri…
November 25, 2025, 11:18 pm
NGOs katika Wilaya ya Kasulu wapongeza jitihada za Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA kwa kuwapa elimu na kuwakumbusha kanuni na sheria za kodi kupitia semina iliyoendeshwa katika wilaya hiyo. Na; Sharifat Shinji Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoa wa Kigoma…
October 17, 2025, 5:40 pm
“NCCR Mageuzi hatuko tayari kuona uchaguzi unaingiliwa au kuvurugwa na wahuni kwa mwavuli wa Maandano kwa sababu hii chama kinawaagiza wagombea wake, viongozi, wanachama, mashabiki na marafiki zetu kwenda kupiga kura” Amesema ndg Faustine. Na; Irene Charles Mkuu wa idara…
October 8, 2025, 5:55 pm
“Tutaendelea kuwashirikisha uzuri mkuu wa Wilaya yetu ni mdau wa michezo hivyo sisi tutaendelea kuwasapoti katika maswala ya michezo na hatutakomea hapa ni mwendelezo na sehemu nyingine wajianadaa na mlioshinda hapa mtarajie mazuri kwenda kushiriki sehemu nyingine” Amesema Mtewele. Na;…
October 8, 2025, 3:37 pm
Wakulima wa kilimo cha Pamba wamejitokeza kushiliki Maadhimisho ya siku ya Pamba duniani ambapo katika Wilaya ya Kasulu yamefanyika kata ya Asante Nyerere huku mamia ya wananchi wakijitokeza kwa wingi kushudia zoezi hilo. Na; Sharifat Shinji Wilaya ya Kasulu mkoani…
October 3, 2025, 10:28 am
Wazee Katika Halmashauri ya Mji Kaasulu walia na serikali kukabiliana na uonevu wanaoupitia katika maishayao ya kawaida. Na; Emily Adam Baadhi ya wazee katika Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa huduma bora ya…
October 1, 2025, 4:36 pm
Kuelekea msimu wa mvua baadhi ya wafanyabiashara na wakazi katika mtaa wa soko la Kwashayo katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameomba kutafutiwa suluhisho la kudumu kuhusu Dampo la taka linalopatikana maeneo hayo. Na:Irene Charles Baadhi ya wafanyabiashara na wakazi katika…
September 20, 2025, 2:46 am
Halmashauri imezindua kituo cha polis Nyakitonto kitakachowezesha kusaidi wananchi wa Halmashauri hiyo kutatua changamoto zao za kipolis na kiusalama kwa karibu tofauti na zamani ambapo walikuwa wakilazimika kusafiri umbali mrefu kufuata huduma hiyo. Na; Sharifat Shinji Kiongozi mkuu wa mbio…
September 20, 2025, 1:50 am
“Kukamilika kwa daraja hili tunapaswa kuwapongeviongozi wetu wa kipindi cha utekelezaji mradi huu mbunge wetu Ndalichako kwa kweli kwenye hili tunakukumbuka sana na ninaomba tumpigie makofi kwa jitihada ulizozifanya unasitahili pongezi kwa kushirikiana na viongozi hadi kukamilika kwa daraja hili”…
September 19, 2025, 6:53 pm
Ujenzi wa Wodi ya wazazi katika Kituo cha afya Mwami Ntale katika Kata ya Heru Juu umekamilika kwa asilimia 90% ambapo unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi huu. Na; Sharifat Shinji. Wakazi wa kata ya Heru Juu katika Halmashauri ya mji…
The Radio will be known as BUHA FM RADIO, it is devoted to serve whole Kigoma region and neighbouring area such as Katavi, Tabora, Kagera and Burundi. Our primary target will be the Refugee host area and refugee camps in Kasulu, Kibondo and Kakonko. As the community engagement process, on August 21, 2018, the Organization for Human Investment and Development (OHIDE Tanzania) and RTTS Centre (The refugee-based communication centre) in Nyarugusu Refugee Camp signed a Memorandum of Understanding to collaborate in producing local content based on refugee affairs. The agreement is based on making sure that the refugees voice is included and are well informed, educated, and entertained through Radio broadcasting. Either the goal of the project is to make sure there is a good neighbourhood between the Refugees and the host community and also support the UN agencies and partners to serve both communities in Kasulu, Kibondo, and Kakonko.
Vision
The VISION of Buha FM Radio is to see the community of Kigoma Region particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role in their development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication to achieve sustainable rural development.
Objectives of the Buha news and Buha Radio
The following are our objectives; –
· Enhanced access to the information within refugees and host community through the well-established Radio station
· Promoted implementation of the United Nations Sustainable Development Goals
· Reduced tension among refugees and host communities
· Reduced poverty among women and youth
· Increased cross border business integrations within the Kigoma region and neighbouring countries
· Promoted protection to girls, children, and elders
Our Activities
To engage communities in content production
· To involve Refugees and refugee-based journalists in intercultural programs and current affairs news
· Give space/cooperate with the Government, UN agencies, Development partners to debate and discuss solutions on challenges being faced by both communities
· Produce news and programs that ensuring the existence of a harmonious relationship between the refugees and the horst community to foster improved corporation, awareness, and protection issues.
· Produce information stories on peace and security news from refugee country of origin to promote voluntary repatriation (This will be part of the Go and See visit and Come and Tell method for refugees and host local village leaders)
· Promote agribusiness and environmental conservation for poverty eradication
· Promote wildlife conservation
· Promote the preservation of the indigenous culture of the Kigoma region and historical sites