10/09/2025, 07:29

Kasulu Mji yazidi kukumbwa na kipindupindu

“Elimu ya Kipindupindu tunaendelea kuitoa kwa wananchi kupitia vyombo vya habari kutokana na ongezeko la maambukizi ya ugonjwa huu ambapo mwezi Augost kulikuwa na visa vitatu hadi leo Septemba 08 mwaka huu vimefikia visa 37 vya maambukizi ya ugonjwa huu…

On air
Play internet radio

Recent posts

10/03/2026, 23:31

Bugaga wanufaika na Miche 120,000 ya kahawa

“Tungependa kahawa hii imee na kusambaa katika Halmashauri yetu ya Wilaya ya Kasulu, hivyo tumieni fursa hii ambayo serikali imeitoa bure mkaitunze na msiende kuifanyia biashara badala yake mkaipande kwenye maeneo yenu”Amesema Ladislaus. Na; Mwandishi wetu Wakazi wa Kijiji cha…

10/03/2026, 22:02

Mkojo wa sungura dili kwa wakulima wa mbogamboga

“Wakulia wakitumia mkojo wa sungura kama tiba mbadala ya kuua wadudu itawasaidia kupuguza gharama za manunuzi ya kemikali na madawa kwa ajili ya kua wadudu wanaoshambulia mazao” Amesema Chiza. Na; Helbeth Barayata Wakulima wa mboga mboga katika Halmashauri ya Miji…

06/03/2026, 11:12

Polis jamii wasisitiza ushirikiano kuibua vitendo vya uhalifu

“Ili kuepuka vitendo vya uhalifu na uvunjifu wa amani ni lazima familia zitekeleze malezi bora kwa watoto wao” Amesema Insp. Lupa. Na; Irene Cherles Mkaguzi msaidizi wa jeshi la polisi ambaye ni mratibu polisi jamii Wilaya ya Kasulu Insp. Willy…

05/03/2026, 17:21

Nkubhagana ataja faida za ufugaji wa nyuki

“Ufugaji wa nyuki una faida nyingi kutokana na matumi zake kuwa mengi pia” Na; Helbeth Barayata Wananchi wa Halimashauri ya Mji kasulu mkoani Kigoma wameshauriwa kujishughurisha na ufugaji wa nyuki, uchakataji na uuzaji wa mazao yanayotokana na mazao ya asali…

25/02/2026, 19:01

Yaliyojificha malezi ya watoto katika jamii

“Watoto wamefikia sehemu wanajichukulia maamuzi yao jambo linalosababisha kuzalisha majambazi, vibaka, watoto wa mtaani jambo ambalo sio zuri na sisi kama ustawi wa jamii tunaendelea kutoa elimu katika jamii na kuwasisitiza kushirikiana katika malezi” Virginia Fredinand. Na; Emily Adam Baadhi…

11/02/2026, 08:46

Bodaboda Kasulu watakiwa kumiliki leseni za udereva

Maafisa usafirishaji katika Wilaya ya Kasulu wapewa elimu ya kufuata ili kupata leseni za udereva huku wakitaja ugumu wa maisha ni sababu ya kutokufuatilia masuala ya leseni. Na: Sharifat Shinji Maafisa Usafirishaji abiria katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa…

05/02/2026, 22:11

Madiwani watwishwa zigo kuzuia upotevu wa mapato Kasulu

Baada ya Madiwani wa Halmashauri ya Mji Kasulu kupitisha bilioni 43 kama bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 wameagizwa kusimamia mianya yote inayosababisha kupotea kwa mapato katika Halmashauri hiyo. Na; Ramadhan Zaidy Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kasulu na diwani…

31/01/2026, 21:07

Madhara ya kukosa muda wa kupumzika, kusinzia

Baadhi ya Wananchi wametaja uelewa wao kuhusu madhara ya kukosa muda wa kulala au kupumuzika baada ya kazi hata hivyo miongoni mwao wameeleza jinsi wanavyopitia changamoto wakikubwa na tatizo hili la kutolala muda mrefu. Na; Paulina Majaliwa Jarida la Preventing…

31/01/2026, 14:46

Kasulu Mji kukusanya bil. 43 mwaka wa fedha 2026/2027

Halmashauri ya Mji Kasulu imejipanga kukusanya zaidi ya bilioni 40 katika mwaka wa fedha 2026/2027 ikiwa ni ongezeko la asilimia 14 kutoka bajeti ya mwaka 2025/2026. Na; Irene Charles Kaimu mkurugenzi wa Hmji Kasulu Ndg. Nurfus Aziz amesema katika mwaka…

29/01/2026, 00:07

Madiwani Kasulu waagizwa kusimamia bima ya afya kwa wote

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wamehimizwa kusimamia maswala yote ya maendeleo ikiwemo swala la Bima ya afy kwa wote. Na; Sharifat Shinji Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Mhe. Balozi Simon Sirro, amewaagiza madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya…

Buha FM Radio

The Radio will be known as BUHA FM RADIO, it is devoted to serve whole Kigoma region and neighbouring area such as Katavi, Tabora, Kagera and Burundi. Our primary target will be the Refugee host area and refugee camps in Kasulu, Kibondo and Kakonko. As the community engagement process, on August 21, 2018, the Organization for Human Investment and Development (OHIDE Tanzania) and RTTS Centre (The refugee-based communication centre) in Nyarugusu Refugee Camp signed a Memorandum of Understanding to collaborate in producing local content based on refugee affairs. The agreement is based on making sure that the refugees voice is included and are well informed, educated, and entertained through Radio broadcasting. Either the goal of the project is to make sure there is a good neighbourhood between the Refugees and the host community and also support the UN agencies and partners to serve both communities in Kasulu, Kibondo, and Kakonko.

Vision 

The VISION of Buha FM Radio is to see the community of Kigoma Region particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role in their development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication to achieve sustainable rural development.

 Objectives of the Buha news and Buha Radio      

The following are our objectives; –

 ·       Enhanced access to the information within refugees and host community through the well-established Radio station

·       Promoted implementation of the United Nations Sustainable Development Goals

·       Reduced tension among refugees and host communities

·       Reduced poverty among women and youth

·       Increased cross border business integrations within the Kigoma region and neighbouring countries

·       Promoted protection to girls, children, and elders

Our Activities

To engage communities in content production

·       To involve Refugees and refugee-based journalists in intercultural programs and current affairs news

·       Give space/cooperate with the Government, UN agencies, Development partners to debate and discuss solutions on challenges being faced by both communities

·       Produce news and programs that ensuring the existence of a harmonious relationship between the refugees and the horst community to foster improved corporation, awareness, and protection issues.

·       Produce information stories on peace and security news from refugee country of origin to promote voluntary repatriation (This will be part of the Go and See visit and Come and Tell method for refugees and host local village leaders)

·       Promote agribusiness and environmental conservation for poverty eradication

·       Promote wildlife conservation

·       Promote the preservation of the indigenous culture of the Kigoma region and historical sites