Recent posts
January 29, 2026, 12:07 am
Madiwani Kasulu waagizwa kusimamia bima ya afya kwa wote
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wamehimizwa kusimamia maswala yote ya maendeleo ikiwemo swala la Bima ya afy kwa wote. Na; Sharifat Shinji Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Mhe. Balozi Simon Sirro, amewaagiza madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya…
January 28, 2026, 7:43 pm
Kasulu DC yakabidhiwa magari kutoka kamati ya IRC
Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imekabidhiwa magari yaliyotolewa na Kamati ya Kimataifa ya Uokoaji (IRC) ambapo yameelekezwa kusaidia Idara ya Elimu ya Awali na Msingi pamoja na Ofisi ya Mthibiti Ubora wa Shule. Na; Sharifat Shinji Mkuu wa…
January 27, 2026, 2:15 am
Kabanga yawaita wananchi Kasulu kupata huduma za kibingwa
Wananchi waeleza furaha ya huduma za madaktari katika hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo wilayani Kasulu na kupongeza uongozi kwa kuendelea kuwaborishea huduma za afya. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imewaomba wananchi kujitokeza…
January 27, 2026, 1:26 am
Wafadhili kuing’arisha hospitali ya rufaa Kabanga
Uongozi wa hospitali ya Rufaa Kabanga imejidhatiti kuboresha miundombinu na mazingira ya kutolea huduma za afya pamoja na kutowa huduma bora kwa wannchi hii ni kutokana na ufadhili unaoendelea kufadhili katika hospitali hiyo. Na; Sharifat Shinji. Taasisi za Tweega Medica,…
January 22, 2026, 11:30 am
Kasulu na ukusanyaji mapato
Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu imefanikiwa kukusanya zaidi ya Bilion 20.8 sawa na asilimia 54 kwa bajeti ya mwaka wa Fedha 2025/2026 huku ikijipanga kukusanya Bilion 44.7 mwaka wa fedha 2o26/2027. Na Sharifat Shinji Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani…
January 16, 2026, 7:04 pm
Sokwemtu hatarini kutoweka katika Hifadhi ya Taifa Gombe
Shughuli za binadamu ikiwemo kilimo, uchomaji wa mkaa, ukataji miti kwa ajili ya nishati kuni pamoja na naongezeko la makazi ya watu katika maeneo ya Hifadhi ya Taifa Gombe mkoani Kigoma, zimetajwa kusababisha mabadiliko ya Tabianchi katika eneo hilo hali…
January 8, 2026, 5:02 pm
Mvua zatajwa kuzorotesha biashara ya ndala, yeboyebo Kwashayo
Mvua za masika zatajwa kusababisha mzorotesha biashara ya viatu katika maeneo mbalimbali ikiwemo genge la Kwashayo katika Halmashauri ya Mji Kasulu. Na; Emily Adam Wafanyabiashara wa Viatu malufu Ndala na Yeboyebo katika genge la Kwashayo Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani…
January 5, 2026, 10:29 pm
Wakulima Karela washauriwa kutumia mbinu bora za kilimo
Katika msimu huu wa kilimo baadhi ya wakulia wa kata ya Karela wamebainisha changamoto ambazo wamekuwa wakizipitia katika kila msimu wa kilimo katika maeneo hayo. Na; Emily Adam Wakulima wa kata ya Karela Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma…
January 5, 2026, 7:06 pm
Wananchi Kagerankanda wamlilia mbunge migogoro ya ardhi
Mbunge wa Kasulu vijijini Mhe. Edibily Kazala aneahidi kutatua changamoto zote ilizopo katika kijiji cha Kagerankanda na Jimbo la Kasulu vijijini kwa ujumla. Na; Mwandishi wetu Wananchi wa kijiji cha Kagerankanda katika Jimbo la kasulu Vijijini Mkoani Kigoma wamemuomba Mbunge…
December 24, 2025, 7:18 pm
Polisi Kasulu waapa kudhibiti ajali siku za sikukuu
Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kasulu, ASP Partrick Damasi amesema wakati wa sikukuu wazazi wanapaswa kuwalinda watoto wao ili wasipate changamoto ya kupotea. Na; Sharifat Shinji Wananchi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani…