September 10, 2025, 7:29 am

Kasulu Mji yazidi kukumbwa na kipindupindu

“Elimu ya Kipindupindu tunaendelea kuitoa kwa wananchi kupitia vyombo vya habari kutokana na ongezeko la maambukizi ya ugonjwa huu ambapo mwezi Augost kulikuwa na visa vitatu hadi leo Septemba 08 mwaka huu vimefikia visa 37 vya maambukizi ya ugonjwa huu…

On air
Play internet radio

Recent posts

January 29, 2026, 12:07 am

Madiwani Kasulu waagizwa kusimamia bima ya afya kwa wote

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wamehimizwa kusimamia maswala yote ya maendeleo ikiwemo swala la Bima ya afy kwa wote. Na; Sharifat Shinji Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Mhe. Balozi Simon Sirro, amewaagiza madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya…

January 28, 2026, 7:43 pm

Kasulu DC yakabidhiwa magari kutoka kamati ya IRC

Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imekabidhiwa magari yaliyotolewa na Kamati ya Kimataifa ya Uokoaji (IRC) ambapo yameelekezwa kusaidia Idara ya Elimu ya Awali na Msingi pamoja na Ofisi ya Mthibiti Ubora wa Shule. Na; Sharifat Shinji Mkuu wa…

January 27, 2026, 2:15 am

Kabanga yawaita wananchi Kasulu kupata huduma za kibingwa

Wananchi waeleza furaha ya huduma za madaktari katika hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo wilayani Kasulu na kupongeza uongozi kwa kuendelea kuwaborishea huduma za afya. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imewaomba wananchi kujitokeza…

January 27, 2026, 1:26 am

Wafadhili kuing’arisha hospitali ya rufaa Kabanga

Uongozi wa hospitali ya Rufaa Kabanga imejidhatiti kuboresha miundombinu na mazingira ya kutolea huduma za afya pamoja na kutowa huduma bora kwa wannchi hii ni kutokana na ufadhili unaoendelea kufadhili katika hospitali hiyo. Na; Sharifat Shinji. Taasisi za Tweega Medica,…

January 22, 2026, 11:30 am

Kasulu na ukusanyaji mapato

Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu imefanikiwa kukusanya zaidi ya Bilion 20.8 sawa na asilimia 54 kwa bajeti ya mwaka wa Fedha 2025/2026 huku ikijipanga kukusanya Bilion 44.7 mwaka wa fedha 2o26/2027. Na Sharifat Shinji Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani…

January 16, 2026, 7:04 pm

Sokwemtu hatarini kutoweka katika Hifadhi ya Taifa Gombe

Shughuli za binadamu ikiwemo kilimo, uchomaji wa mkaa, ukataji miti kwa ajili ya nishati kuni pamoja na naongezeko la makazi ya watu katika maeneo ya Hifadhi ya Taifa Gombe mkoani Kigoma, zimetajwa kusababisha mabadiliko ya Tabianchi katika eneo hilo hali…

January 8, 2026, 5:02 pm

Mvua zatajwa kuzorotesha biashara ya ndala, yeboyebo Kwashayo

Mvua za masika zatajwa kusababisha mzorotesha biashara ya viatu katika maeneo mbalimbali ikiwemo genge la Kwashayo katika Halmashauri ya Mji Kasulu. Na; Emily Adam Wafanyabiashara wa Viatu malufu Ndala na Yeboyebo katika genge la Kwashayo Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani…

January 5, 2026, 10:29 pm

Wakulima Karela washauriwa kutumia mbinu bora za kilimo

Katika msimu huu wa kilimo baadhi ya wakulia wa kata ya Karela wamebainisha changamoto ambazo wamekuwa wakizipitia katika kila msimu wa kilimo katika maeneo hayo. Na; Emily Adam Wakulima wa kata ya Karela Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma…

January 5, 2026, 7:06 pm

Wananchi Kagerankanda wamlilia mbunge migogoro ya ardhi

Mbunge wa Kasulu vijijini Mhe. Edibily Kazala aneahidi kutatua changamoto zote ilizopo katika kijiji cha Kagerankanda na Jimbo la Kasulu vijijini kwa ujumla. Na; Mwandishi wetu Wananchi wa kijiji cha Kagerankanda katika Jimbo la kasulu Vijijini Mkoani Kigoma wamemuomba Mbunge…

December 24, 2025, 7:18 pm

Polisi Kasulu waapa kudhibiti ajali siku za sikukuu

Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kasulu,  ASP Partrick Damasi amesema wakati wa sikukuu wazazi wanapaswa kuwalinda watoto wao ili wasipate changamoto ya kupotea. Na; Sharifat Shinji Wananchi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani…

Buha FM Radio

The Radio will be known as BUHA FM RADIO, it is devoted to serve whole Kigoma region and neighbouring area such as Katavi, Tabora, Kagera and Burundi. Our primary target will be the Refugee host area and refugee camps in Kasulu, Kibondo and Kakonko. As the community engagement process, on August 21, 2018, the Organization for Human Investment and Development (OHIDE Tanzania) and RTTS Centre (The refugee-based communication centre) in Nyarugusu Refugee Camp signed a Memorandum of Understanding to collaborate in producing local content based on refugee affairs. The agreement is based on making sure that the refugees voice is included and are well informed, educated, and entertained through Radio broadcasting. Either the goal of the project is to make sure there is a good neighbourhood between the Refugees and the host community and also support the UN agencies and partners to serve both communities in Kasulu, Kibondo, and Kakonko.

Vision 

The VISION of Buha FM Radio is to see the community of Kigoma Region particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role in their development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication to achieve sustainable rural development.

 Objectives of the Buha news and Buha Radio      

The following are our objectives; –

 ·       Enhanced access to the information within refugees and host community through the well-established Radio station

·       Promoted implementation of the United Nations Sustainable Development Goals

·       Reduced tension among refugees and host communities

·       Reduced poverty among women and youth

·       Increased cross border business integrations within the Kigoma region and neighbouring countries

·       Promoted protection to girls, children, and elders

Our Activities

To engage communities in content production

·       To involve Refugees and refugee-based journalists in intercultural programs and current affairs news

·       Give space/cooperate with the Government, UN agencies, Development partners to debate and discuss solutions on challenges being faced by both communities

·       Produce news and programs that ensuring the existence of a harmonious relationship between the refugees and the horst community to foster improved corporation, awareness, and protection issues.

·       Produce information stories on peace and security news from refugee country of origin to promote voluntary repatriation (This will be part of the Go and See visit and Come and Tell method for refugees and host local village leaders)

·       Promote agribusiness and environmental conservation for poverty eradication

·       Promote wildlife conservation

·       Promote the preservation of the indigenous culture of the Kigoma region and historical sites