Buha FM Radio
Buha FM Radio
January 31, 2026, 9:07 pm

Baadhi ya Wananchi wametaja uelewa wao kuhusu madhara ya kukosa muda wa kulala au kupumuzika baada ya kazi hata hivyo miongoni mwao wameeleza jinsi wanavyopitia changamoto wakikubwa na tatizo hili la kutolala muda mrefu.
Na; Paulina Majaliwa
Jarida la Preventing Chronic Disease la mwaka 2013 Chapisho la Taasisi ya Centers for Disease Control and Prevention (CDC) inasisitiza kuwa insufficient sleep yaani kukosa usingizi ni tatizo kubwa la afya ya umma ambapo matokeo yake yana hatari ya magonjwa ya moyo, kisukari, shinikizo la damu, na matatizo ya akili.