Recent posts
February 11, 2026, 8:46 am
Bodaboda Kasulu watakiwa kumiliki leseni za udereva
Maafisa usafirishaji katika Wilaya ya Kasulu wapewa elimu ya kufuata ili kupata leseni za udereva huku wakitaja ugumu wa maisha ni sababu ya kutokufuatilia masuala ya leseni. Na: Sharifat Shinji Maafisa Usafirishaji abiria katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa…
February 5, 2026, 10:11 pm
Madiwani watwishwa zigo kuzuia upotevu wa mapato Kasulu
Baada ya Madiwani wa Halmashauri ya Mji Kasulu kupitisha bilioni 43 kama bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 wameagizwa kusimamia mianya yote inayosababisha kupotea kwa mapato katika Halmashauri hiyo. Na; Ramadhan Zaidy Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kasulu na diwani…
January 31, 2026, 9:07 pm
Madhara ya kukosa muda wa kupumzika, kusinzia
Baadhi ya Wananchi wametaja uelewa wao kuhusu madhara ya kukosa muda wa kulala au kupumuzika baada ya kazi hata hivyo miongoni mwao wameeleza jinsi wanavyopitia changamoto wakikubwa na tatizo hili la kutolala muda mrefu. Na; Paulina Majaliwa Jarida la Preventing…
January 31, 2026, 2:46 pm
Kasulu Mji kukusanya bil. 43 mwaka wa fedha 2026/2027
Halmashauri ya Mji Kasulu imejipanga kukusanya zaidi ya bilioni 40 katika mwaka wa fedha 2026/2027 ikiwa ni ongezeko la asilimia 14 kutoka bajeti ya mwaka 2025/2026. Na; Irene Charles Kaimu mkurugenzi wa Hmji Kasulu Ndg. Nurfus Aziz amesema katika mwaka…
January 29, 2026, 12:07 am
Madiwani Kasulu waagizwa kusimamia bima ya afya kwa wote
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wamehimizwa kusimamia maswala yote ya maendeleo ikiwemo swala la Bima ya afy kwa wote. Na; Sharifat Shinji Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Mhe. Balozi Simon Sirro, amewaagiza madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya…
January 28, 2026, 7:43 pm
Kasulu DC yakabidhiwa magari kutoka kamati ya IRC
Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imekabidhiwa magari yaliyotolewa na Kamati ya Kimataifa ya Uokoaji (IRC) ambapo yameelekezwa kusaidia Idara ya Elimu ya Awali na Msingi pamoja na Ofisi ya Mthibiti Ubora wa Shule. Na; Sharifat Shinji Mkuu wa…
January 27, 2026, 2:15 am
Kabanga yawaita wananchi Kasulu kupata huduma za kibingwa
Wananchi waeleza furaha ya huduma za madaktari katika hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo wilayani Kasulu na kupongeza uongozi kwa kuendelea kuwaborishea huduma za afya. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imewaomba wananchi kujitokeza…
January 27, 2026, 1:26 am
Wafadhili kuing’arisha hospitali ya rufaa Kabanga
Uongozi wa hospitali ya Rufaa Kabanga imejidhatiti kuboresha miundombinu na mazingira ya kutolea huduma za afya pamoja na kutowa huduma bora kwa wannchi hii ni kutokana na ufadhili unaoendelea kufadhili katika hospitali hiyo. Na; Sharifat Shinji. Taasisi za Tweega Medica,…
January 22, 2026, 11:30 am
Kasulu na ukusanyaji mapato
Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu imefanikiwa kukusanya zaidi ya Bilion 20.8 sawa na asilimia 54 kwa bajeti ya mwaka wa Fedha 2025/2026 huku ikijipanga kukusanya Bilion 44.7 mwaka wa fedha 2o26/2027. Na Sharifat Shinji Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani…
January 16, 2026, 7:04 pm
Sokwemtu hatarini kutoweka katika Hifadhi ya Taifa Gombe
Shughuli za binadamu ikiwemo kilimo, uchomaji wa mkaa, ukataji miti kwa ajili ya nishati kuni pamoja na naongezeko la makazi ya watu katika maeneo ya Hifadhi ya Taifa Gombe mkoani Kigoma, zimetajwa kusababisha mabadiliko ya Tabianchi katika eneo hilo hali…