September 10, 2025, 7:29 am

Kasulu Mji yazidi kukumbwa na kipindupindu

“Elimu ya Kipindupindu tunaendelea kuitoa kwa wananchi kupitia vyombo vya habari kutokana na ongezeko la maambukizi ya ugonjwa huu ambapo mwezi Augost kulikuwa na visa vitatu hadi leo Septemba 08 mwaka huu vimefikia visa 37 vya maambukizi ya ugonjwa huu…

On air
Play internet radio

Recent posts

December 13, 2025, 3:25 pm

CRDB kuwanufaisha wakulima Buhigwe

Wakulima wilayani Buhigwe kupitia kwa mbunge wa jimbo la Buhigwe Prof. Pius Yanda wamenufaika na mafunzo ya mikopo kutoka Taasisi ya kifedha ya Bank ya CRDB kwa ajili ya kuendesha shughuli za kilimo kupitia mikopo hiyo. Na; Sharifat Shinji Wakulima…

December 12, 2025, 7:50 pm

Utoaji taarifa za ukatili kikwazo mkoani Kigoma

Baadhi ya wananchi mkoani Kigoma wameeleza ugumu wanaopitia katika swala la kutoa taarifa za maswala ya ukatili wa kijinsia wakihofia usalama wao baada ya kutoa taarifa hizo. Na; Irene Charles Katibu tawala mkoa wa Kigoma Ndg.  Hassan Rugwa amesema viongozi…

December 11, 2025, 12:33 pm

Wazazi waombwa kulinda haki za mtoto na vitendo vya ukatili

Mwanasheria kutoka kituo cha Matumani (Centre of Hope), kilichopo wilayani Kasulu Ndug. Decas Patrick Burumba amewaomba wazazi na walezi wa Wilaya ya Kasulu kuzingatia na kufuata sheria za haki za watoto na kuwalinda dhidi ya ukatili katika jamii. Na; Helbeth…

December 10, 2025, 4:45 pm

Kasulu wajadili utekelezaji wa ilani juni hadi disemba 2025

Wilaya ya Kasulu imeendelea kuimalika katika kutekeleza miradi inayoendelezwa na ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM kwa kuendeleza na kukikamilisha kwa usimamizi bora huku mingine ikiendelea kutekelezwa wilayani humo. Na; Paulina Majaliwa Serikali wilayani Kasulu mkoani Kigoma imeendelea  kusimamia na…

December 7, 2025, 12:20 pm

Bodaboda Kigoma wagomea maandamano ya Desemba 9

Maafisa usafirishaji maalufu Bodaboda kutoka Wilaya mbalimbali mkoani Kigoma wapinga maandamano yaliyopangwa kufanyika Desemba 9, Serikali wilayani Kasulu yatia neno la msisistizo wa kutojihusisha na maandamano hayo. Na; Sharifat Shinji Maafisa Usafirishaji wa abiri malufu Bodaboda mkoani Kigoma wamesema hawatoshiriki…

December 4, 2025, 7:30 pm

Madiwani 28 waapishwa Kasulu vijijini

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu amewataka madiwani wenzake kutambua kuwa nafasi walizokabidhiwa ni za muda, hivyo wanapaswa kufanya kazi kwa bidii na kujituma ili waache alama chanya kwa wananchi wanaowatumikia. Na; Emily Adam Madiwani wateule wa Halmashauri ya…

December 4, 2025, 6:19 pm

Mbunge Kasulu Vijijini atoa maelekezo kwa madiwani

Madiwani wa Kata mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wamepewa maelekezo ya kufanya baada ya kula viapo vyao vya kuwatumikia wananchi katika kata zao. Na; Emily Adam Watumishi  wa sekata mbalimbali na Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu…

December 3, 2025, 10:08 pm

Madaraja tarafa ya Makere changamoto kwa watoto wa shule

Wananchi wa kata ya Makere waomba kujengewa miundombinu ya madaraja katika Kata mbalimbali Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu ili kuondoa ajari za watoto wa shule hasa katika kipindi cha mvua. Na; Saharifa Shinji Baadhi ya wakazi wa Kata ya Makere…

December 3, 2025, 5:51 pm

Kasulu waomba nyama ishuke bei msimu wa sikukuu

Wafanya biashara wa nyama katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameeleza namana soko la nyama linavyoendelea pamoja na kubainisha kuwa bei ya nyama kupanda ni kutokana na soko la ng’ombe kuwa juu. Na; Sharifat Shinji Wafanya biashara wa nyama katika soko…

December 3, 2025, 5:07 pm

Waapa kukusanya mapato na kusimamia miradi ya maendeleo

Madiwani wa Kata mbalimbali katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameahidi kusimamia miradi yote ya maendeleo pamoja na kusimamia ukasanyaji wa mapato katika Halmashauri hiyo ili kuiwezesha serikali kujitegemea kupitia mapato ya ndani. Na; Sharifat Shinji Madiwani wateule katika Halmashauri ya…

Buha FM Radio

The Radio will be known as BUHA FM RADIO, it is devoted to serve whole Kigoma region and neighbouring area such as Katavi, Tabora, Kagera and Burundi. Our primary target will be the Refugee host area and refugee camps in Kasulu, Kibondo and Kakonko. As the community engagement process, on August 21, 2018, the Organization for Human Investment and Development (OHIDE Tanzania) and RTTS Centre (The refugee-based communication centre) in Nyarugusu Refugee Camp signed a Memorandum of Understanding to collaborate in producing local content based on refugee affairs. The agreement is based on making sure that the refugees voice is included and are well informed, educated, and entertained through Radio broadcasting. Either the goal of the project is to make sure there is a good neighbourhood between the Refugees and the host community and also support the UN agencies and partners to serve both communities in Kasulu, Kibondo, and Kakonko.

Vision 

The VISION of Buha FM Radio is to see the community of Kigoma Region particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role in their development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication to achieve sustainable rural development.

 Objectives of the Buha news and Buha Radio      

The following are our objectives; –

 ·       Enhanced access to the information within refugees and host community through the well-established Radio station

·       Promoted implementation of the United Nations Sustainable Development Goals

·       Reduced tension among refugees and host communities

·       Reduced poverty among women and youth

·       Increased cross border business integrations within the Kigoma region and neighbouring countries

·       Promoted protection to girls, children, and elders

Our Activities

To engage communities in content production

·       To involve Refugees and refugee-based journalists in intercultural programs and current affairs news

·       Give space/cooperate with the Government, UN agencies, Development partners to debate and discuss solutions on challenges being faced by both communities

·       Produce news and programs that ensuring the existence of a harmonious relationship between the refugees and the horst community to foster improved corporation, awareness, and protection issues.

·       Produce information stories on peace and security news from refugee country of origin to promote voluntary repatriation (This will be part of the Go and See visit and Come and Tell method for refugees and host local village leaders)

·       Promote agribusiness and environmental conservation for poverty eradication

·       Promote wildlife conservation

·       Promote the preservation of the indigenous culture of the Kigoma region and historical sites