Recent posts
December 4, 2025, 7:30 pm
Madiwa 28 waapishwa Kasulu vijijini
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu amewataka madiwani wenzake kutambua kuwa nafasi walizokabidhiwa ni za muda, hivyo wanapaswa kufanya kazi kwa bidii na kujituma ili waache alama chanya kwa wananchi wanaowatumikia. Na; Emily Adam Madiwani wateule wa Halmashauri ya…
December 4, 2025, 6:19 pm
Mbunge Kasulu Vijijini atoa maelekezo kwa madiwani
Madiwani wa Kata mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wamepewa maelekezo ya kufanya baada ya kula viapo vyao vya kuwatumikia wananchi katika kata zao. Na; Emily Adam Watumishi wa sekata mbalimbali na Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu…
December 3, 2025, 10:08 pm
Madaraja tarafa ya Makere changamoto kwa watoto wa shule
Wananchi wa kata ya Makere waomba kujengewa miundombinu ya madaraja katika Kata mbalimbali Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu ili kuondoa ajari za watoto wa shule hasa katika kipindi cha mvua. Na; Saharifa Shinji Baadhi ya wakazi wa Kata ya Makere…
December 3, 2025, 5:51 pm
Kasulu waomba nyama ishuke bei msimu wa sikukuu
Wafanya biashara wa nyama katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameeleza namana soko la nyama linavyoendelea pamoja na kubainisha kuwa bei ya nyama kupanda ni kutokana na soko la ng’ombe kuwa juu. Na; Sharifat Shinji Wafanya biashara wa nyama katika soko…
December 3, 2025, 5:07 pm
Waapa kukusanya mapato na kusimamia miradi ya maendeleo
Madiwani wa Kata mbalimbali katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameahidi kusimamia miradi yote ya maendeleo pamoja na kusimamia ukasanyaji wa mapato katika Halmashauri hiyo ili kuiwezesha serikali kujitegemea kupitia mapato ya ndani. Na; Sharifat Shinji Madiwani wateule katika Halmashauri ya…
December 3, 2025, 1:06 pm
Bei ya mchele Kasulu yageuka kilio kwa walaji
Baadhi ya wananchi wa maisha ya chini wamewaomba Wafanyabiashara wa Mchele katika masoko ya Halamashauri ya Mji Kasulu kupunguza bei ya bidhaa hiyo kutokana na gharama kupanda na baadhi ya wananchi kushindwa kumudu gharama hizo. Na; Emily Adam Wafanyabiashara wa…
December 2, 2025, 11:19 pm
Kasulu waomba kupewa elimu kuhusu UKIMWI
Wakazi wa Wilaya ya Kasulu waombwa kujenga utamaduni wa kupima afya zao mara kwa mara na kutambua mapema kama wanaishi na maambukizi ya virus vya UKIMWI ili kupata ushauri nasaaha pamoja na kuanza matumizi ya kufubaza maambukizi ya virusi hivyo.…
November 30, 2025, 10:36 pm
MEO’s Kasulu warudisha kwa watoto wenye mahitaji maalum
Kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalumu cha Center of Hope kimepokea misaada kutoka jumuiya ya watendaji wa serikali za mitaa (MEO`s) Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma ikiwa ni sehemu ya faraja kwa watoto hao kutokana na mahitaji waliyonayo…
November 28, 2025, 12:05 am
Zimamoto: Majanga ya radi si ushirikina
Watumishi wa Halimashauri ya Mji Kasulu wamepewa elimu ya kujikinga na majanga ya moto pamoja na mbinu za kutumia vifaa vya uokozi ikiwemo vizima moto pamoja na hatua za kuchukuwa pale wanapofikwa na majanga katika maenoe yao ya kazi. Na;…
November 26, 2025, 11:02 pm
World Vision yazifikia shule za Tulieni na Chashenze Kasulu
Wazazi na walezi katika kata ya Makele Tarafa ya Makele katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wamepongea kukmilika wa ujenzi wa madarasa na matundu ya vyoo katika shule za msingi Tulieni na Chashenze katikakatika halimashauri hiyo, mradi uliotekelezwa…