Recent posts
December 13, 2025, 3:25 pm
CRDB kuwanufaisha wakulima Buhigwe
Wakulima wilayani Buhigwe kupitia kwa mbunge wa jimbo la Buhigwe Prof. Pius Yanda wamenufaika na mafunzo ya mikopo kutoka Taasisi ya kifedha ya Bank ya CRDB kwa ajili ya kuendesha shughuli za kilimo kupitia mikopo hiyo. Na; Sharifat Shinji Wakulima…
December 12, 2025, 7:50 pm
Utoaji taarifa za ukatili kikwazo mkoani Kigoma
Baadhi ya wananchi mkoani Kigoma wameeleza ugumu wanaopitia katika swala la kutoa taarifa za maswala ya ukatili wa kijinsia wakihofia usalama wao baada ya kutoa taarifa hizo. Na; Irene Charles Katibu tawala mkoa wa Kigoma Ndg. Hassan Rugwa amesema viongozi…
December 11, 2025, 12:33 pm
Wazazi waombwa kulinda haki za mtoto na vitendo vya ukatili
Mwanasheria kutoka kituo cha Matumani (Centre of Hope), kilichopo wilayani Kasulu Ndug. Decas Patrick Burumba amewaomba wazazi na walezi wa Wilaya ya Kasulu kuzingatia na kufuata sheria za haki za watoto na kuwalinda dhidi ya ukatili katika jamii. Na; Helbeth…
December 10, 2025, 4:45 pm
Kasulu wajadili utekelezaji wa ilani juni hadi disemba 2025
Wilaya ya Kasulu imeendelea kuimalika katika kutekeleza miradi inayoendelezwa na ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM kwa kuendeleza na kukikamilisha kwa usimamizi bora huku mingine ikiendelea kutekelezwa wilayani humo. Na; Paulina Majaliwa Serikali wilayani Kasulu mkoani Kigoma imeendelea kusimamia na…
December 7, 2025, 12:20 pm
Bodaboda Kigoma wagomea maandamano ya Desemba 9
Maafisa usafirishaji maalufu Bodaboda kutoka Wilaya mbalimbali mkoani Kigoma wapinga maandamano yaliyopangwa kufanyika Desemba 9, Serikali wilayani Kasulu yatia neno la msisistizo wa kutojihusisha na maandamano hayo. Na; Sharifat Shinji Maafisa Usafirishaji wa abiri malufu Bodaboda mkoani Kigoma wamesema hawatoshiriki…
December 4, 2025, 7:30 pm
Madiwani 28 waapishwa Kasulu vijijini
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu amewataka madiwani wenzake kutambua kuwa nafasi walizokabidhiwa ni za muda, hivyo wanapaswa kufanya kazi kwa bidii na kujituma ili waache alama chanya kwa wananchi wanaowatumikia. Na; Emily Adam Madiwani wateule wa Halmashauri ya…
December 4, 2025, 6:19 pm
Mbunge Kasulu Vijijini atoa maelekezo kwa madiwani
Madiwani wa Kata mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wamepewa maelekezo ya kufanya baada ya kula viapo vyao vya kuwatumikia wananchi katika kata zao. Na; Emily Adam Watumishi wa sekata mbalimbali na Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu…
December 3, 2025, 10:08 pm
Madaraja tarafa ya Makere changamoto kwa watoto wa shule
Wananchi wa kata ya Makere waomba kujengewa miundombinu ya madaraja katika Kata mbalimbali Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu ili kuondoa ajari za watoto wa shule hasa katika kipindi cha mvua. Na; Saharifa Shinji Baadhi ya wakazi wa Kata ya Makere…
December 3, 2025, 5:51 pm
Kasulu waomba nyama ishuke bei msimu wa sikukuu
Wafanya biashara wa nyama katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameeleza namana soko la nyama linavyoendelea pamoja na kubainisha kuwa bei ya nyama kupanda ni kutokana na soko la ng’ombe kuwa juu. Na; Sharifat Shinji Wafanya biashara wa nyama katika soko…
December 3, 2025, 5:07 pm
Waapa kukusanya mapato na kusimamia miradi ya maendeleo
Madiwani wa Kata mbalimbali katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameahidi kusimamia miradi yote ya maendeleo pamoja na kusimamia ukasanyaji wa mapato katika Halmashauri hiyo ili kuiwezesha serikali kujitegemea kupitia mapato ya ndani. Na; Sharifat Shinji Madiwani wateule katika Halmashauri ya…