Buha FM Radio

Athari za msongo wa mawazo kwa mjamzito

April 24, 2025, 10:08 am

Picha kwa hisani ya akili mnemba (ChartGPT) ikionesha mjamzito mwenye msongo wa mawazo

Msongo wa Mawazo Humfanya Mama Mjamzito kushindwa kula Chakula Vizuri, Chakula ambacho ni Mhimu kwa matoto na inaweza sababisha mtoto kuzaliwa akiwa malemavuHabibu Sasagale

Na Sharifat Shinji

Ripoti ya mwaka 2021 kupitia taasisi ya Centers for Disease Control and Prevention CDC ilitoa mwongozo kuhusu athari za msongo wa mawazo kwa mama mjawazito, ikisisitiza umuhimu wa kutambua na kushughulikia dalili za msongo wa mawazo katika kipindi cha ujauzito ili kupunguza madhara kwa mama na mtoto.