Maendeleo
7 May 2024, 12:10 am
Profesa Mkenda akutana na warombo waishio Dar es salaam,wajadili maendeleo.
Wanananchi kutoka Rombo Mkoani Kilimanjaro waishio Dar es saalam wakutanishwa na Mbunge wao na kujadili kuhusu maendeleo ya Rombo na namna ya kutatua changamoto mbalimbali. Na Elizabeth Mafie Mbunge wa Rombo Profesa Adolf Mkenda ambae pia ni waziri wa Elimu…
22 April 2024, 2:00 pm
Prof. Mkenda aeleza maendeleo yaliyofanyika Rombo
Mbunge wa Rombo Profesa Adolf Mkenda afanya mkutano na wajumbe kutoka tarafa ya Mengwe,aeleza miradi kedekede ya maendeleo iliyofanyika na inayoendelea Rombo. Na Elizabeth Mafie Mbunge wa Rombo Profesa Adolf Mkenda ambae ndie waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia hapa…
16 March 2024, 3:41 pm
Mdau wa maendeleo Hai akabidhi maabara kwa Dc Mkalipa
Katika kuendelea kuunga mkono serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, mdau wa maendeleo wilayani Hai amekabidhi maabara ya kisasa kwa DC Mkalipa. Na Edwine Lamtey Serikali wilayani Hai imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau…
15 March 2024, 7:56 pm