Boma Hai FM

Maadhimisho

12 March 2024, 2:06 pm

Wanawake waomba kujengewa kituo cha kulelea watoto kazini

Kutokana na changamoto za malezi ya watoto zinazowakabili wanawake watumishi katika taasisi mbalimbali, watumishi hao wameomba kujengewa kituo cha kulelea watoto. Na Elizabeth Mafie Wanawake watumishi kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) kupitia shirika…