Boma Hai FM
Maadhimisho
12 March 2024, 2:06 pm
Wanawake waomba kujengewa kituo cha kulelea watoto kazini
Kutokana na changamoto za malezi ya watoto zinazowakabili wanawake watumishi katika taasisi mbalimbali, watumishi hao wameomba kujengewa kituo cha kulelea watoto. Na Elizabeth Mafie Wanawake watumishi kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) kupitia shirika…
9 March 2024, 12:04 pm
Saashisha ashiriki siku ya wanawake duniani, awaasa kuhusu mikopo
Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amewataka baadhi ya wanawake wanaokopa mikopo katika taasisi mbalimbali kuacha mara moja kwani mikopo hiyo inaleta athari kwa familia pamoja na jamii. Na Edwin Lamtey Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amewaasa…