Baraka FM

Ujasiriamali

6 April 2024, 12:33

Machinga Mbeya waitwa kujisajili

Katika hali isiyo ya kawaida Mkoa wa Mbeya wafanya Biashara wadogo maarufu kama Machinga bado hawajapatiwa vitambulisho vya kufanya biashara zao. Na Ezra Mwilwa Wafanya Biashara wadogo maarufu kama Machinga mkoa wa Mbeya wametakiwa kujitokeza kufanya usajili wa kupata vitambulisho…

7 March 2024, 15:57

Diwani Mariam:Wawepo wataalamu wa saikolojia kwenye kata

Mamilioni ya watanzania wanajihususha na ujasiriamali mdogo hali inayo wafanya wajiingizie kipato kutokana na hilo hawana budii kupata elimu inayowawezesha kufanya shughuli zao kwa weledi. Na Hobokela Lwinga Kuelekea kilele cha siku ya mwanamke duniani,diwani wa viti maalum jiji la…