msaada
19 April 2024, 17:40
Ruwasa Mbeya watoa msaada kwa waathirika wa maporomoko Kawetere
Maporomoko mlima Kawetere yalitokea April 14,2024 majira ya saa tatu asubuhi na kusababisha nyumba zaidi ya ishirini kufukiwa na udongo ikiwemo shule ya mchepuo wa kiingereza ya Generation. Na Ezekiel Kamanga Bodi ya Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa…
18 April 2024, 18:17
Mhandisi Merryprisca Mahundi atoa msaada kwa waathirika wa maporomoko Mbeya
Kutokana na Mvua zinazonyesha kusababisha maporomoko katika kata ya Itezi jiji Mbeya na kusababisha wakazi kukosa maeneo ya kuishi huku wengine wakipoteza mali pamoja na mifugo wadau mbalimbali wameendelea kutoa misaada ya kujikimu kwa wahanga hao. Na Ezra Mwilwa Taasisi…
18 April 2024, 17:48
Wafanyakazi wanawake Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya watoa msaada wa kitanda c…
Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya imekuwa ikiboresha huduma zake siku hadi siku na kuifanya kuwa kimbilio katika mikoa ya Nyanda za Juu na nchi za Kusini mwa Afrika. Na Ezekiel Kamanga Watumishi Wanawake vitengo mbalimbali Hospitali ya Rufaa Kanda…
11 April 2024, 16:18
Dkt. Tulia akabidhi nyumba, azindua kiwanda cha nafaka, atembelea athari za mafu…
Dkt Tulia amewataka wananchi na watu wenye unafuu wa maisha kuwagusa watu wenye uhitaji kila mmoja Kwa namna alivyojaliwa badala ya kubeza wale wanaotoa misaada kwenye jamii. Na Ezekiel Kamanga Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Spika wa Bunge…