mauaji
2 April 2024, 07:30
Polisi Mbeya kuwasaka watuhumiwa mauaji ya mwalimu, mwanafunzi Chunya
Mwili wa mwalimu aliyeuawa wilaya ya Chunya mkoani Mbeya utasafirishwa kwenda kufanyiwa mazishi mkoa wa Iringa. Na Ezekiel Kamanga Mwili wa aliyekuwa mwalimu wa shule ya msingi Mbugani Herieth Lupembe (37) aliyeuawa na watu wasiojulikana utasafirishwa kwenda mkoani lringa kwa…
1 April 2024, 13:28
Mwalimu wa kike, mwanafunzi wauawa Kiwanja Chunya
Mwalimu wa kike na mwanafunzi wameuawa wakati huo mtoto wa miaka miwili akijeruhiwa wilaya ya Chunya mkoani Mbeya. Na Ezekiel Kamanga Watu wawili jinsi ya kike wakazi wa Kiwanja kata ya Mbugani wilaya ya Chunya mkoani Mbeya wanadaiwa kuuawa na…
14 March 2024, 14:13
Mume aua mke kwa kutenganisha kichwa na kiwiliwili Igurusi Mbeya
Mwanaume mmoja katika eneo la Igurusi wilayani Mbarali mkoani Mbeya amejichukulia hatua mkononi kwa kumchinja mke wake mithiri ya kuku na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili. Na Ezekiel Kamanga Simanzi na vilio vimetawala kwa wakazi wa kitongoji cha Masista kijiji cha…