Baraka FM

Malezi

3 May 2024, 09:43

67% ya watoto wanatumia simu, 4% wamefanyiwa ukatili

Ukuaji wa sayansi na tenkolojia ulimwenguni umeleta changamoto ya malezi duni kwa watoto ambapo baadhi ya wazazi wamekua wakitumia mitandao ya kijamii kutoa malezi kulea watoto wao. Na Rukia Chasanika Katika utafiti uliofanywa juu ya matumizi ya simu kwa watoto…

10 November 2023, 16:17

Lulandala:Iweni walinzi na watetezi wa chama na serikali

katibu mkuu wa UVCCM Fakii Lulandala amewataka vijana wa UVCCM kuwa walinzi na watetezi wa chama na serikali katika utekelezaji wa maendelo kupitia ilani ya CCM. Wito huo ameeutoa katika ofisi za chama cha mapinduzi sokomatola jijini mbeya wakati akizungumza…

26 September 2023, 12:15

Kada CHADEMA alia na serikali ugumu wa maisha

CHADEMA kata ya Kandete Busokelo kinafanya mkutano huo ikiwa ni maandalizi ya kumpokea Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe na safu yake wanaotarajiwa kuwa na mikutano katika wilaya ya Rungwe. Na Josea Sinkala Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kata ya…