Baraka FM

Maji

20 March 2024, 18:55

Madiwani wanawake watembelea miradi ya maji Mbeya

Kutokana na changamoto ya uhaba wa maji kwa baadhi ya wakazi jijini Mbeya mamlaka ya maji safi imeendelea kujenga miradi ya maji ili kunusuru hali hiyo. Na Sifael Kyonjola Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mbeya kwa kushirikiana…