Maji
21 March 2024, 08:11
Naibu Waziri Mahundi azindua, kukabidhi kisima cha maji Songwe
Wilaya ya Momba mkoani Songwe imekabidhiwa kisima cha maji baada ya kilio cha muda mrefu. Na Ezra Mwilwa Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Marryprisca Mahundi amezindua na kukabidhi kisima cha maji kwa wananchi wa kijiji cha Ipumpila kata ya Ndalambo…
20 March 2024, 18:55
Madiwani wanawake watembelea miradi ya maji Mbeya
Kutokana na changamoto ya uhaba wa maji kwa baadhi ya wakazi jijini Mbeya mamlaka ya maji safi imeendelea kujenga miradi ya maji ili kunusuru hali hiyo. Na Sifael Kyonjola Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mbeya kwa kushirikiana…
19 February 2024, 09:54
Naibu Waziri Maji kushiriki mkutano wa 13 wa ubunifu wa teknolojia za maji
Na mwandishi wetu, London Uingereza Naibu Waziri wa Maji, Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) amewasili Nchini Uingereza, kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 13 wa ubunifu wa Teknolojia za maji kwa Mwaka 2024( World Water-Tech Innovation Summit) akimuwakilisha Waziri wa…
6 February 2024, 10:38
Waharibifu wa vyanzo vya maji, misitu Mbeya kuchukuliwa hatua
Na mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mh. Beno Malisa Akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwenye siku ya upandaji miti Mkoani Mbeya ametoa mamlaka husika kuwachukulia hatua viongozi na wote watakaojihusisha na uharibifu wa Misitu na vyanzo vya…