Baraka FM
kiswahili
22 March 2024, 17:49
Naibu waziri Mwinjuma afunga kongamano la idhaa za kiswahili duniani Mbeya
Wahenga wanasema elimu haina mwisho,inapotokea fursa hupaswi kuiacha kwani hiyo inakuwa na moja ya kujiongezea maarifa. Na Hobokela Lwinga Naibu waziri wa utamaduni Sanaa na michezo Mhe. HAMIS MWINJUMA amesema lugha ya Kiswahili ni kiungo muhimu cha mawasiliano miongoni mwa…
18 March 2024, 19:51
Waziri mkuu,tumieni kiswahili kwenye shughuli zenu
Waziri Mkuu kassim Majaliwa amewataka watanzania kutumia fursa ya matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili ili kujipatia ajira kutokana na mataifa mengine kuipokea lugha hiyo kwa kasi kubwa. Na Hobokela Lwinga Waziri mkuu ameagiza watanzania na ofisi za Serikali kuhakikisha…