Baraka FM

kiswahili

18 March 2024, 19:51

Waziri mkuu,tumieni kiswahili kwenye shughuli zenu

Waziri Mkuu kassim Majaliwa amewataka watanzania kutumia fursa ya matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili ili kujipatia ajira kutokana na mataifa mengine kuipokea lugha hiyo kwa kasi kubwa. Na Hobokela Lwinga Waziri mkuu ameagiza watanzania na ofisi za Serikali kuhakikisha…