Siasa
9 April 2024, 13:46
Askofu Mwakanani: Mnapogombea zingatieni misingi na kanuni za uongozi
Mwaka 2024 kunatarajia kuwa na uchaguzi wa serikali za mitaa nchi nzima huku ikitarajiwa kupatikana kwa wenyeviti wa mitaa na vijiji sambamba na 2025 kunatarajiwa kuwepo kwa uchaguzi mkuu wa Rais, Wabungeni na Madiwani. Na Kelvin Lameck Viongozi wa vyama…
9 April 2024, 13:28
CHADEMA Mbeya yachagua viongozi, Masaga ambwaga Mwasote
Mabadiliko ni sehemu ya maisha ya binadamu hivyo ndivyo unaweza kusema hata kwenye taasisi kunahitaji mabadiliko ili kwenda mbele zaidi na kuyafikia mafanikio. NA Imani Anyigulile Wananchama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo mkoa wa Mbeya wamechagua viongozi mbalimbali wa…
16 January 2024, 19:45
PM Majaliwa ahitimisha ziara Mbeya, afungua CUoM
Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kasim Majaliwa ameondoka Mkoani Mbeya baada ya Kushiriki Hafla ya Ufunguzi wa Chuo Kikuu Cha Kikatoloki Mbeya (CUoM) Leo January 16 2024.