Uncategorized
7 May 2024, 8:13 pm
Baraza la Biashara Kaskazini Unguja lahimizwa kushirikiana na wafanyabiashara
Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Rashid Hadidi Rashid amelishauri Baraza la biashara la mkoa huo kushirikiana na wafanyabiashara ili kukuza pato la taifa. Na Abdul-Sakaza na Juma Haji, Kaskazini Unguja Rashid ameyasema hayo leo ofisini kwake Mkokotoni wakati alipokutana na baraza…
9 January 2024, 6:54 pm
Wenyeji 960 wapewa ajira kwenye mradi wa ujenzi wa barabara Zanzibar.
Na Najat Omar Kampuni ya CCECC inayojenga barabara za mjini na vijijini visiwani Zanzibar, imewapatia ajira wazanzibar wapatao 960 kwenye mradi huo. Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa hoteli ya Serena Zanzibar, Mkurugenzi wa CCECC Afrika Mashariki Zhang…
20 December 2023, 8:09 pm
Pen America lawafunza waandishi wa habari wanawake Zanzibar kujilinda na udhalil…
Na Najjat Omar-Zanzibar Waandishi wa habari wanawake waliopo kwenye taasis mbalimbali za binafsi na Serikali wamekutanishwa pamoja na Shirikia na Pen America kwenye kikao cha siku mbili kilichojadili masuala ya udhalilishaji wa kimtandao,kulinda ,kujitetea na kuzingatia afya ya akili kwa…