Uyui FM Radio

Ukimwi

15 April 2024, 10:52 pm

DC Mwansasu: Mkizidiwa vaeni kondomu

“Vijana ni nguvu kazi ya taifa kwahiyo lindeni afya zenu na mhakikishe mnacheza kwa uangalifu“ Na Elisha Lusatila Mkuu wa Wilaya ya Uyui mkoani Tabora Zakaria Mwansasu amewasihi wananchi kulinda afya zao dhidi ya ugonjwa wa UKIMWI.Mwansasu ametoa rai hiyo…