Uyui FM Radio

maombolezo

25 March 2021, 4:14 pm

Wafanyabiashara Tabora wamlilia Hayati Dkt Magufuli

Wafanyabiashara na wajasiriamali  katika Manispaa ya Tabora wamesema watamkumbuka aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dkt John Pombe Magufuli kutokana na namna alivyo wapigania na kupata maeneo ya kufanyia biashara bila Bugudha. Wafanyabiashara hao akiwemo Haki Kasawa,Sheila Chambuso…