Uyui FM Radio
maombolezo
25 March 2021, 4:14 pm
Wafanyabiashara Tabora wamlilia Hayati Dkt Magufuli
Wafanyabiashara na wajasiriamali katika Manispaa ya Tabora wamesema watamkumbuka aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dkt John Pombe Magufuli kutokana na namna alivyo wapigania na kupata maeneo ya kufanyia biashara bila Bugudha. Wafanyabiashara hao akiwemo Haki Kasawa,Sheila Chambuso…
24 March 2021, 1:14 pm
Wananchi ManiSpaa ya Tabora waendelea kumuenzi Hayati Dkt JOHN MAGUFULI
Jamii katika Manispaa ya Tabora imesema inamuenzi na itaendelea kumkumbuka aliyekuwa Raisi wa awamu ya tano katika Jamuhuri ya muungano wa Tanzania hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa juhudi na uchapakazi wake ikiwa ni pamoja na kuhakikisha watanzania wanapata huduma…