Uyui FM Radio
Kuchapakazi
13 April 2024, 6:51 pm
Wananchi Tabora waaswa kumuenzi Wakasuvi kwa uchapakazi
Marehemu Wakasuvi alikuwa mchapakazi lakini pia alikuwa na mahusiano mazuri na watu hivyo dumisheni amani na ushirikiano. Na Zaituni Juma Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha amewataka wananchi kuendelea kuyaenzi yale aliyokuwa akiyatenda aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi…