Uyui FM Radio
Chanjo
23 April 2024, 7:10 pm
Zaidi ya wasichana 200,000 kufikiwa na chanjo ya HPV Tabora
Kampeni ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka 9 hadi 14 imezinduliwa nchini naitafanyika kwa siku 5 mfululizo. Na Mohamed Habibu Wazazi na walezi wenye wasichana walio na umri wa miaka 9 hadi 14…