Uyui FM Radio
Uncategorized
10 February 2023, 1:52 pm
Safari ya mwisho ya mtangazaji Beatrice Mahangi
Ibada ya mazishi ya mtangazaji wa kipindi cha BEMBEA LA WATOTO BEATRICE JOSEPH MAHANGI wa kituo cha redio UFR 99.3 Tabora imefanyika hii leo februari 10 katika Kanisa Katoliki Parokia ya Paul-Bunda mkoani Mara. Awali Meneja wa kituo cha redio UFR …