Uyui FM Radio

Uncategorized

10 February 2023, 1:52 pm

Safari ya mwisho ya mtangazaji Beatrice Mahangi

Ibada ya mazishi ya  mtangazaji wa kipindi cha BEMBEA LA WATOTO  BEATRICE JOSEPH MAHANGI  wa  kituo cha redio UFR 99.3 Tabora imefanyika   hii leo februari 10 katika Kanisa Katoliki Parokia ya Paul-Bunda mkoani Mara. Awali Meneja wa kituo  cha redio UFR …