Uvinza Fm
Utalii
09/09/2021, 5:44 pm
Utalii waongezeka hifadhi ya Ruaha baada ya kupungua kwa covid 19
Na,Glory Paschal Imeelezwa kuwa katika Kipindi cha Mlipuko wa Ugonjwa wa Corona awamu ya kwanza na ya pili hali ya watalii kutembelea hifadhi za Taifa Ikiwemo Ruaha ilipungua ikilinganishwa na wakati huu ambapo watalii wameanza kujitokeza kwa wingi kutembelea hifadhi…