Uvinza Fm

ulinzi

27/05/2021, 5:32 pm

Serikali yaahidi kuwalinda raia na mali zao

Na,Rosemary Bundala Serikali imesema inaendelea kuhakikisha usalama wa raia na mali zao unaendelea kuimarika na kuhakikisha kuwa wananchi wanaendelea na shughuli zao za kila siku kwa amani na utulivu Hayo yamejiri leo bungeni  jijini Dodoma wakati  waziri mkuu  Kassim Majaliwa…