Uvinza Fm
ulinzi
27/05/2021, 5:32 pm
Serikali yaahidi kuwalinda raia na mali zao
Na,Rosemary Bundala Serikali imesema inaendelea kuhakikisha usalama wa raia na mali zao unaendelea kuimarika na kuhakikisha kuwa wananchi wanaendelea na shughuli zao za kila siku kwa amani na utulivu Hayo yamejiri leo bungeni jijini Dodoma wakati waziri mkuu Kassim Majaliwa…