Maji
12/08/2021, 4:31 pm
Wananchi walia na ukosefu wa maji
Na,Mwanaid Suleiman Wakazi wa kijiji cha Ruchugi Wilayani Uvinza mkoani Kigoma wameiomba serikali kutataua changamoto ya maji inayowakumba katika kijiji hicho hasa katika kipindi cha kiangazi Hayo yamesemwa na baadhi ya wakazi wa kijiji cha Ruchugi kuwa changamoto hiyo imekua…
01/06/2021, 4:26 pm
Mradi wa maji kakonko wafikia asilimia 65
Na,Rosemary Bundala Serikali imesema hadi kufikia disemba 2020 tayari miradi kumi na tano ilikuwa inatekelezwa katika wilaya ya kakonko ambapo miradi kumi na nne imekamilika na inatoa huduma ya maji kwa wananchi na mradi mmoja uliobaki ni mradi wa kakonko…
20/05/2021, 7:27 pm
Ukosefu wa maji wawaliza wananchi
Na,Editha Edward Wananchi wa kijiji cha Ruchugi wilayani uvinza mkoani kigoma wameiomba serikali iwatengenezee magati ya maji waliyoyaweka ili maji yaweze kutoka na kuondokana na adha wanayopata ya kutembea umbali mrefu kufuata maji Wakizungumza na redio uvinza fm wananchi wa…