Uvinza Fm

Maji

12/08/2021, 4:31 pm

Wananchi walia na ukosefu wa maji

Na,Mwanaid Suleiman Wakazi wa kijiji cha Ruchugi Wilayani Uvinza mkoani Kigoma wameiomba serikali kutataua changamoto ya maji inayowakumba katika kijiji hicho  hasa katika kipindi cha kiangazi Hayo yamesemwa na baadhi ya wakazi wa kijiji cha Ruchugi kuwa changamoto hiyo imekua…

01/06/2021, 4:26 pm

Mradi wa maji kakonko wafikia asilimia 65

Na,Rosemary Bundala Serikali imesema hadi kufikia disemba 2020 tayari miradi kumi na tano ilikuwa inatekelezwa katika wilaya ya kakonko ambapo miradi kumi na nne imekamilika na inatoa huduma ya maji kwa wananchi na mradi mmoja uliobaki ni mradi wa kakonko…

20/05/2021, 7:27 pm

Ukosefu wa maji wawaliza wananchi

Na,Editha Edward Wananchi wa kijiji cha Ruchugi wilayani uvinza mkoani kigoma wameiomba serikali iwatengenezee magati ya maji waliyoyaweka ili maji yaweze kutoka na kuondokana  na adha wanayopata  ya kutembea umbali mrefu kufuata maji Wakizungumza na redio uvinza fm wananchi  wa…