Uvinza Fm

kuwasa

12/05/2021, 4:40 pm

KUWASA wakanusha kuwabambikizia bili za maji wateja

Na,Glory Paschal Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Manispaa ya Kigoma Ujiji, KUWASA wamekanusha taarifa  iliyotolewa na Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na Maji Ewura kuwa wamekuwa wakiwabambikiza bili za maji wateja Akizungumza  na Waandishi wa…