Uvinza Fm
kuwasa
24/11/2021, 3:59 pm
Mabomba ya maji yenye thamani ya shilingi milioni 600 yatolewa na serikali
Na,Glory Paschal Mabomba ya Maji yenye thamani ya Shilingi milioni 600 yametolewa na Serikali katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, ambayo yanaanza kutandikwa katika kata kadhaa ikiwemo kata ya Bangwe Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi. ESTER MAHAWE amesema hatua hiyo…
12/05/2021, 4:40 pm
KUWASA wakanusha kuwabambikizia bili za maji wateja
Na,Glory Paschal Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Manispaa ya Kigoma Ujiji, KUWASA wamekanusha taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na Maji Ewura kuwa wamekuwa wakiwabambikiza bili za maji wateja Akizungumza na Waandishi wa…