Uvinza Fm

Kigoma

24/06/2021, 7:31 pm

Jeshi la polisi latakiwa kufanya kazi zao kwa weledi

Na,Glory Paschal Watendaji wa Jeshi la polisi pamoja na mahakama Mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi zao kwa weledi ili kutokomeza mimba za utotoni Hayo yameelezwa na Katibu Tawala  Mkoani hapa Rashid Kassim Mchatta katika mkutano wa utetezi kuhusu haki za…