Uvinza Fm
Kigoma
24/06/2021, 7:31 pm
Jeshi la polisi latakiwa kufanya kazi zao kwa weledi
Na,Glory Paschal Watendaji wa Jeshi la polisi pamoja na mahakama Mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi zao kwa weledi ili kutokomeza mimba za utotoni Hayo yameelezwa na Katibu Tawala Mkoani hapa Rashid Kassim Mchatta katika mkutano wa utetezi kuhusu haki za…
24/03/2021, 10:48 am
Wananchi wa Nkungwe wilayani Kigoma washukuru serikali kwa kuondoa kero ya maji.
KIGOMA. Wananchi wa Kata ya Nkungwe Halmashauri ya Wilaya Kigoma Mkoani Kigoma wamepongeza Serikali kuwasaidia kuwapelekea huduma ya maji kwani kwa muda mrefu wamekuwa wakitumia maji ya visima hali iliyosababisha kuungua magonjwa ya mlipuko mara kwa mara. Wananchi hao wameeleza…