Uncategorized
24/02/2022, 4:36 pm
Siku ya wanawake duniani jamii yaaswa kujitokeza kuiadhimisha
Na,Rosemary Bundala Kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo hufanyika tarehe nane mwezi wa tatu kila mwaka jamii imeaswa kujitokeza katika kuadhimisha maadhimisho hayo Hayo yamezungumzwa na afisa maendeleo ya jamii kutoka wilaya ya uvinza Mkoani Kigoma bi MASTIDIYA NDYETABULA wakati…
09/09/2021, 5:44 pm
Utalii waongezeka hifadhi ya Ruaha baada ya kupungua kwa covid 19
Na,Glory Paschal Imeelezwa kuwa katika Kipindi cha Mlipuko wa Ugonjwa wa Corona awamu ya kwanza na ya pili hali ya watalii kutembelea hifadhi za Taifa Ikiwemo Ruaha ilipungua ikilinganishwa na wakati huu ambapo watalii wameanza kujitokeza kwa wingi kutembelea hifadhi…
19/08/2021, 4:45 pm
Wafanyabiashara waishukuru serikali kwa kuondoa vikwazo vya kufanya biashara
Na,Glory Paschal Wafanyabiashara katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma wameishukuru serikali kupitia mamlaka ya mapato Tanzania TRA kuondoa vikwazo vya kufanya biashara vilivyokuwa vinawakabili ikiwemo kubabikiziwa makadilio ya juu ya kodi na baadhi ya watumishi wasio waadilifu. Wamesema tangu…
04/06/2021, 7:51 pm
Wakazi wa Matendo watembea umbali mrefu kufuata maji
Na,Glory Paschal Wananchi wa Kijiji cha Pamila Kata ya Matendo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, Wameiomba Serikali kuwasaidia kupeleka huduma ya maji kwani wanalazimika kutembea umbali mrefu kutafuta maji na kushindwa kufanya shughuli za maendeleo Wakizungumza na Radio Uvinza Fm, Wananchi…