Uvinza Fm

Uncategorized

24/02/2022, 4:36 pm

Siku ya wanawake duniani jamii yaaswa kujitokeza kuiadhimisha

Na,Rosemary Bundala Kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo hufanyika tarehe nane mwezi wa tatu kila mwaka jamii imeaswa kujitokeza katika kuadhimisha maadhimisho hayo Hayo yamezungumzwa na afisa maendeleo ya jamii kutoka wilaya ya uvinza Mkoani Kigoma bi MASTIDIYA NDYETABULA wakati…

04/06/2021, 7:51 pm

Wakazi wa Matendo watembea umbali mrefu kufuata maji

Na,Glory Paschal Wananchi wa Kijiji cha Pamila Kata ya Matendo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, Wameiomba  Serikali  kuwasaidia kupeleka huduma ya maji kwani wanalazimika kutembea umbali mrefu kutafuta maji na kushindwa kufanya shughuli za maendeleo Wakizungumza  na  Radio  Uvinza Fm, Wananchi…