Triple A FM
wanahabari
13 May 2024, 11:42 am
Tulitoa muda wa kutosha kwa wanahabari kujiendeleza kwa mujibu wa sheria-Serikal…
”Serikali ilitoa muda wa kutosha kwa wanahabari kujiendeleza ili kufikia kiwango cha elimu inayotambulika kisheria” Na. Anthony Masai. Serikali ipo katika hatua za mwisho kukamilisha mchakato wa kutangaza kanuni za sheria ya huduma ya vyombo vya habari ya mwaka 2016…
19 March 2024, 1:23 pm
Serikali inapoteza mapato kwa wanahabari kutokuwa na mikataba – JOWUTA
“Asilimia 80 ya waandishi wa habari nchini hawana mikataba ya ajira” Na Anthony Masai Chama cha wafanyakazi katika vyombo vya habari nchini (JOWUTA) kimesema wakati Serikali ikiendelea na mchakato wa kuirasmisha sekta ya habari nchini,inaendelea kupoteza mapato mengi ambayo yangetokana…