Triple A FM
Vijana
2 May 2024, 4:48 pm
DSW yakutanisha wadau kuimarisha mifumo ya kuzuia ukatili wa kijinsia.
“Arusha inaonekana inaongoza katika matukio ya ukatili kwa sababu matukio mengi yanaripotiwa tofauti na mikoa mingine nchini” Na.Anthony Masai. Shirika lisilo la kiserikali la DSW lenye makao yake makuu mkoani Arusha linalotekeleza mradi wake wa SAFA wenye lengo la kuwezesha…
10 April 2024, 7:36 pm
DSW yakutanisha vijana kujadili afya ya uzazi, ukatili wa kijinsia
“Vijana vinara wa vyuo vikuu na walio nje ya shule wamekuwa msaada mkubwa kufikisha elimu kwa vijana wengine nchini” Na Anthony Masai Shirika lisilo la kiserikali la DSW lenye makao yake makuu Tengeru wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, katika kutekeleza…