Triple A FM
Uncategorised
7 December 2023, 2:20 pm
Mvua za juu ya wastani kunyesha ndani ya kipindi cha siku tano zijazo-TMA
Mkurugenzi wa Miundombinu na Huduma za ufundi wa ,Mamlaka ya hali ya hewa nchini Dokta Paskali Wanyiha,akielekeza jambo.Picha na Anthony Masai. Licha ya maeneo mengi ya nchi kuendelea kupata mvua za kiwango cha juu ya wastani na kusababisha mafuriko katika…