Radio Tadio
01/11/2023, 10:54
Changamoto ya maji kwa Wakazi wa Zepisa B kata ya Hombolo Makulu imekuwepo tangu mwaka 1984 Hadi sasa 2023. Na Mindi Joseph. Wakazi wa Mtaa wa Zepisa B kata ya Hombolo Makulu Mkoani Dodoma wameomba kutatuliwa changamoto ya maji inayowakabili…