![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Radio Tadio
1 November 2023, 10:54 am
Changamoto ya maji kwa Wakazi wa Zepisa B kata ya Hombolo Makulu imekuwepo tangu mwaka 1984 Hadi sasa 2023. Na Mindi Joseph. Wakazi wa Mtaa wa Zepisa B kata ya Hombolo Makulu Mkoani Dodoma wameomba kutatuliwa changamoto ya maji inayowakabili…